Barabara nyingi sana za mitaani (hasa maeneo yasiyopimwa) ni nyembamba sana kiasi cha kwamba magari yanashindwa kupishana. Watu hawaoni umuhimu kutenga barabara kwa ukubwa unaofaa. Tatizo ni nini? Au mpaka tuwasubiri serikali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.