Watanzania hatuthamini barabara za mitaa.

fmlyimo

JF-Expert Member
May 4, 2012
324
198
Barabara nyingi sana za mitaani (hasa maeneo yasiyopimwa) ni nyembamba sana kiasi cha kwamba magari yanashindwa kupishana. Watu hawaoni umuhimu kutenga barabara kwa ukubwa unaofaa. Tatizo ni nini? Au mpaka tuwasubiri serikali?
 
Back
Top Bottom