Watanzania chonde chonde tusifike hapa!!!!!

Watanzania chonde chonde tusifike hapa!!!!!

malisoka

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,860
Reaction score
2,639
Jamani watanzania wenzangu bila kujali dini wala kabila tusifike kwa tofauti zetu za itikadi,dini, kabila rangi nk. tukafika mtu mmoja akaamua kuua mtu au watu kwa sababu hizo.

Yanayotokea Kenya, Nigeria, Mali Somaria nk hayapo mbali sana na sisi. sisi si malaika tunapaswa kujipanga na kurekebisha yale makosa yanayoweza sababisha vurugu na mauaji bila sababu za msingi.

Kama issue ni Dini basi tunaomba viongozi wetu wa dini mkae pamoja msungumze na kufikia muafaka, Kama ni Siasa basi wanasiasa msifikie kushawishi watu kuua kwa maslahi ya kundi flani la siasa(hata kama nguvu ya umma) na kama shida ni serikari yetu basi tuishinikize ifanye haki na kama haisikii tuamua hata kwa kuhimizana kutowachagua.
 
Jamani watanzania wenzangu bila kujali dini wala kabila tusifike kwa tofauti zetu za itikadi,dini, kabila rangi nk. tukafika mtu mmoja akaamua kuua mtu au watu kwa sababu hizo. Yanayotokea Kenya, Nigeria, Mali Somaria nk hayapo mbali sana na sisi. sisi si malaika tunapaswa kujipanga na kurekebisha yale makosa yanayoweza sababisha vurugu na mauaji bila sababu za msingi. Kama issue ni Dini basi tunaomba viongozi wetu wa dini mkae pamoja msungumze na kufikia muafaka, Kama ni Siasa basi wanasiasa msifikie kushawishi watu kuua kwa maslahi ya kundi flani la siasa(hata kama nguvu ya umma) na kama shida ni serikari yetu basi tuishinikize ifanye haki na kama haisikii tuamua hata kwa kuhimizana kutowachagua.



Malizia na viongozi mliopo madarakani msiyapuuze haya na msidharau udini unaosikika na kuonekana wawatendee vyema wananchi wote wakulima na wafanyakazi waache kutugombanisha na kututenga kwa kisingizio cha vyama walinde mali zetu si wazitumie kwa manufaa yao.
 
Malizia na viongozi mliopo madarakani msiyapuuze haya na msidharau udini unaosikika na kuonekana wawatendee vyema wananchi wote wakulima na wafanyakazi waache kutugombanisha na kututenga kwa kisingizio cha vyama walinde mali zetu si wazitumie kwa manufaa yao.

mkuu ligendayika na pia Wassira afafanue alimaanisha nini kuhusu wakristo kutokuchinja, angalia sasa huko Singida mchungaji wa watu kaamua kuchinja kambuzi kake wale na familia amevamiwa na kupigwa na waislamu kisa kauli ya Wassira....
 
Last edited by a moderator:
Mkuu unasema kweli, vurugu zikikolea zitatuathiri wote kwa njia moja au nyingine.
 
Jamani watanzania wenzangu bila kujali dini wala kabila tusifike kwa tofauti zetu za itikadi,dini, kabila rangi nk. tukafika mtu mmoja akaamua kuua mtu au watu kwa sababu hizo. Yanayotokea Kenya, Nigeria, Mali Somaria nk hayapo mbali sana na sisi. sisi si malaika tunapaswa kujipanga na kurekebisha yale makosa yanayoweza sababisha vurugu na mauaji bila sababu za msingi. Kama issue ni Dini basi tunaomba viongozi wetu wa dini mkae pamoja msungumze na kufikia muafaka, Kama ni Siasa basi wanasiasa msifikie kushawishi watu kuua kwa maslahi ya kundi flani la siasa(hata kama nguvu ya umma) na kama shida ni serikari yetu basi tuishinikize ifanye haki na kama haisikii tuamua hata kwa kuhimizana kutowachagua.





Usiwe mwoga kihivyo. Maendeleo ama heshima hapa Tanzania haitakuja bila migogoro na vurugu. Soma katika vitabu vya historia utaona kuwa sehemu zote zilizojikomboa duniani maendeleo yalikuja kutokana na mwamko wa wananchi na mwamko huo ulitokana na maandamano pamoja na vurugu za kumwaga damu mpaka viongozi wakatimuliwa na wengine kuchinjwa. Kumbuka, serikali ni sisi wananchi...nikimaanisha wewe, mimi pamoja na watanzania wote hapa nchini. Kikwete ni sisi ndiye tuliyempa majukumu ya kutawala na kuweka vitu sawa hapa Tanzania lakini katika miaka yake 8 ya utawala hajatekeleza chochote zaidi ya utalii na kutunga nyimbo za bongo fleva. Tanzania si nchi masikini na ni dhahiri kabisa kuwa sisi si masikini kwani tuna mali nyingi sana hapa nchini na hata balozi wa Ujrumani alithibisha hii kuwa sisi si taifa masikini kutokana na rasilimali tulizonazo. Viongozi wanatumia ile lugha ya 1947 kuwa sie ni taifa masikini huku wakisaini mikataba feki na wawekezaji ili kujinufaisha wao na familia zao bila kujali matakwa ya wananchi. Je, ni haki kweli Kikwete ama waziri wake haibe hela kunufaisha familia yake bila kujali wananchi? Tuachane na uwoga wa kijinga, hapa sio kama nachochea vurugu Tanzania, lahasha...ila nalilia haki yetu na ndiyo maana nawaunga mkono wana kusini kwa wanayofanya! Tanzania bila fujo hatutafika popote, tumenyanyaswa vya kutosha.
 
Jamani watanzania wenzangu bila kujali dini wala kabila tusifike kwa tofauti zetu za itikadi,dini, kabila rangi nk. tukafika mtu mmoja akaamua kuua mtu au watu kwa sababu hizo. Yanayotokea Kenya, Nigeria, Mali Somaria nk hayapo mbali sana na sisi. sisi si malaika tunapaswa kujipanga na kurekebisha yale makosa yanayoweza sababisha vurugu na mauaji bila sababu za msingi. Kama issue ni Dini basi tunaomba viongozi wetu wa dini mkae pamoja msungumze na kufikia muafaka, Kama ni Siasa basi wanasiasa msifikie kushawishi watu kuua kwa maslahi ya kundi flani la siasa(hata kama nguvu ya umma) na kama shida ni serikari yetu basi tuishinikize ifanye haki na kama haisikii tuamua hata kwa kuhimizana kutowachagua.




Mbona tulisha fika: Ona hii

1. KONDOA MUSLIMS PROTEST: "COMPASSION INTERNATIONAL GET OUT OF KONDOA ISLAMIC TERRITORY" ~ Find True Faith

2. FURIOUS MUSLIMS DESTROYED 5 CHURCHES AS BOY DEFILED QURAN IN DAR ES SALAAM TANZANIA ~ Find True Faith

3. RADICAL MUSLIMS TORCHED TWO CHURCHES AT BAGAMOYO IN TANZANIA ~ Find True Faith

4. RADICAL MUSLIMS STOPED CHRISTIANS TO BUILD THE CHURCH BUILDING AT RUFIJI DISTRICT IN TANZANIA ~ Find True Faith

5. A FORMER MUSLIM GIRL IS SENTENCED TWO YEARS BEING ACCUSED OF DEFAMING THE QUR'AN IN TANZANIA ~ Find True Faith

6. MUSLIMS DEMAND: RELIGIOUS NATIONAL CENSUS IN THE SECULAR STATE OF TANZANIA ~ Find True Faith

7. A PASTOR ARRESTED, REMANDED ACCUSED OF SLAUGHTERING ANIMAL IN SINGIDA TANZANIA ~ Find True Faith

8. CIVIC UNITED FRONT: "WE LOST ELECTION AT UZINI BECAUSE OF CHRISTIANS AND CHRISTIANITY" , SAYS DEPUTY GENERAL SECRETARY, HON.ISMAIL JUSSA ~ Find True Faith

9. A CHRISTIAN IMPRISONED 4 MONTHS ACCUSED OF SLAUGHTERING ANIMAL AT KAHAMA, SHINYANGA IN TANZANIA ~ Find True Faith

10. RADICAL MUSLIMS INVADED A CHRISTIAN BUSINESSMAN, INJURED AND DESTROYED PROPERTIES AT TEMEKE IN DAR ES SALAAM,TANZANIA. ~ Find True Faith
 
Mbona nilipowaumba sikuwaumba na madini haya. Angalieni! Tumeanza na kuchinja, masipika yanakera watu sijui mahakama..
 
hatuwezi chinjana ..tatizo ni viongozi walioko madarakani wako radhi kutuona tunafanyiana chochote ili mradi wao wabaki madarakani........
 
hatuwezi chinjana ..tatizo ni viongozi walioko madarakani wako radhi kutuona tunafanyiana chochote ili mradi wao wabaki madarakani........
Hapo umenena maana yote yanayotendeka viongozi wetu wanajifanya kama hawayaoni hata nashindwa kuwashangaa nini maana ya kuwa na viongozi? Udini tanzania hii na ukabila ndio vimepamba moto. Baba wa taifa aliyajua hayo ndio maana alijazia sana kuhusu hayo.
 
Back
Top Bottom