Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Jamani, sasa hivi niko kwenye daladala natoka tazara to posta, kunamtangazaji anaendesha kipindi cha mitikisiko ya pwami(nadhani ni radio times fm) mda wote anasifia timu ya chelsi na kuiponda Man. Hiii inanishangaza sana: inamaana redio hii au mtangazaji huyu hana la kuzungumzia lenye manufaa kwa wa tz?