Nadhani si vizuri kuchanganya mifumo; kwa uzoefu wangu ambao pia nimeutekeleza kwangu, mfumo wa sola unajitegemea na mfumo wa umeme pia unajitegemea; ni vizuri mbuzi wakawa kwenye zizi lao, na ng'ombe pia wawe kwenye zizi lao, kuwachanganya ng'ombe na mbuzi kwenye zizi moja ni kusababisha maafa kama yatatokea.