Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,383
- 81,847
Nchi haiwezi kujengwa na waimba mapambio, wachumia tumbo na wanafiki kama wewe!Sisi tulio wengi hatujali Utanganyika na Uzanzibar. Wewe na mabwege wenzako kaeni pembeni mtupishe tujenge nchi.
Nchi inajengwa na wazalendo na walipa kodi kama sisi, lakini mwisho wa siku kodi zetu zinaishia kwenye siasa za kuwaimarisha raia wa nchi jirani kututawala kupitia Muunganobwa kinafiki.