promi demana
Hapa ndipo mnapoanza kupotoka kwa kuingia mwenye mtego wao kwa kuanza kushutumu watu bila kufanya utafiti...
Ni lazima Chadema kiwe makini na kiendeshe mambo yake kisayansi zaidi kuliko kuendeshwa mambo kwa hisia. Kuwepo chombo maalumu cha utafiti na ikibidi washirikine na wataalamu wa nje ya nchi ambao nuna hakika wapo wenye nia njema na Chadema na nchi kwa ujumla, vinginevyo tutajikuta nchi inaingia mikononi mwa mafisadi.