0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,159
- 11,100
Kuna huu wimbo wa Jay Helody-huba hulu.
Sound yake nakuwa sielewi elewi, kila nikijaribu kuuweka naona unatoa sound ya ajabu, najaribu ku-equalizer lakin bado sound inayotoka haisound poa.
Sasa nazani labda itakuwa producer alikosea au studio ilikuwa na vyombo vya kawaida.
Unasound kama umeweka speaker kwenye ndoo.
Sound yake nakuwa sielewi elewi, kila nikijaribu kuuweka naona unatoa sound ya ajabu, najaribu ku-equalizer lakin bado sound inayotoka haisound poa.
Sasa nazani labda itakuwa producer alikosea au studio ilikuwa na vyombo vya kawaida.
Unasound kama umeweka speaker kwenye ndoo.