Unaanza kuvuna miaezi mitatu baada ya kuzipanda. Utaendelea kuvuna kwa miezi 8 hadi 11. Ingia Google kuna material mengi kuhusu greenhouse, au ingia Youtube uangalie, kama ngeli inapanda utaelewa huko. Mimi mwenyewe nimalizia kuweka miundombinu sawa ili nianze kulima
Ngoja mkuu tukuitie Sanctus Mtsimbe aje akudadavulie hapa kuna kipindi aliwahi kuleta mada hapa jamvini ya kuhusu kilimo cha kutumia Green House. Ukijaribu kuitafuta hiyo mada hapa jamvini utaipata!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.