wataalamu wa ardhi na sheria zake

janjab

Senior Member
May 28, 2015
172
56
wakubwa kuna kitu kidogo sijakielewa hivi majuzi nilikuwa nafatilia hati ya kiwanja changu ambapo hata hivyo ni muda mrefu nilifatilia kama mnavyojuwa usumbuf wake so juz ndo nimekamilisha fomu tayar kwa ajil ya kufanyiwa process ya kupata hati sasa wamenipa namba ya akaunt inayoitwa land rentation scheme sijajuwa hasa ni malipo gani hayo maana jamaa mwenyewe alikuwa na harak hakunifafanulia naomba kiwasilisha
 
mkuu hii posti yako kwasasa wachache wataisoma. Ungeiposti wakati mwengine watu Sasa hiv ni bashite na gwajima
 
Back
Top Bottom