naomba mnisaidie,hivi mwanamke kuwa na maji kwenye milija ya uzazi inasababishwa na nini?doctors wamemuambia mke wangu kuwa mirija ya uzazi imejaa maji na tatizo hili lina mazara gani?je kutokupata mimba ni moja ya mazara yake?,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.