Mtoto hutakiwa kutoa kinyesi mala tu azaliwapo,hiyo kwanza n ishara ya uzima au alama ya kumuonyesha kuwa n mzma wa afya,"apgar score",kinyesi kipo na tangu tumbon huwa anajisaidia na kinyesi kile huchanganyika kwenye majimaji aliyomo then kuna namna hufanyika Maji Yale yanatakasika automatic,hivyo usishangae n kawaida