kijana nakushauri usisome master utabugi tena mkuu,wizara ya elimu haiajiri mtu mweny masters,ushauri wangu kwako soma post graduate diploma=degree,mwaka mmoja watakupangia kituo moja kwa moja,inatolewa duce,udsm ,udom na chuo kiuu huria,ila udom ni bei rais sana mil.1 na lak 8, udsm mil3.lak 2.kuna jamaa zang wapo wanapiga.na sio mwaka mmoja exactly ni kama miez 8 au 9.thanx