Jua kupost picha ya mtu nimakosa. Afu huyu dogo namfahamu alisoma pale iyunga then chuo mlimani. Aisee omba msamaha mapema. Maana unaweza kuwa na hali mbaya. Aisee ngekuwa mimi ungrisoma namba aisee
Nadhani utani wa Makabila ulikatazwa na Serikali hii.... Usukumani na miwa wapi na wapi? Kule Viazi vitamu ni vingi sana mtu anaweza kunywa kimiminika bila sukari huku anashindilia viazi vitamu. Nakumbuka Upareni nilishawahi ishi tulikuwa tunakula miwa asubuhi...
Baghosha alinzogwikono galeko mabole gatena masala mamnho ga pwani mangaya milemo kila siku gene na basukuma gatodebaga geke abese habenekele nse eye tolegongoza ila gatidebaga do