Wasira ali zomewa na wananchi katika mkutano aliyo ualika kuhusu
katiba mpya maudhulio yali kuwa afifu watu wasio zidi hamsini katika
mkutano cha ajabu wakati akiendelea kuelezea watu wakaanza kuzomea
ika sababisha kushuka jukwaani na kuailisha mkutano na siku iliyo fuata
kamati ya kukusanya maoni ya katiba ili kuwana mkutano na wasira ali arikwa
lakini akutokea.
katiba mpya maudhulio yali kuwa afifu watu wasio zidi hamsini katika
mkutano cha ajabu wakati akiendelea kuelezea watu wakaanza kuzomea
ika sababisha kushuka jukwaani na kuailisha mkutano na siku iliyo fuata
kamati ya kukusanya maoni ya katiba ili kuwana mkutano na wasira ali arikwa
lakini akutokea.