Wassira aipa CHADEMA Ushindi wa 100% Bunda

Wassira aipa CHADEMA Ushindi wa 100% Bunda

haa haa huyu ni mtoa rushwa kama watoa rishwa wengine ndani ya ccm. hana jipya sana.
 
Ungekuwa msema ukweli Chadema ingekuwa imekufa.
Wewe Wasira ni mwongo sana. Mbona ulisema Chadema ingekufa kabla ya mwaka 2015 lakini Chadema ina nguvu zaidi leo?
 
Mwaka huu ndio mwisho Wa safari yake ya kisiasa.
 
Back
Top Bottom