Wasomi wanaongelea nini kuhusu issue ya ESCROW

Wasomi wanaongelea nini kuhusu issue ya ESCROW

pmzalendo

New Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
4
Reaction score
0
Wanachuo mnachukua hatua gan kuhusu issue ya ESCROW Kama wasomi ndan ya nchi.
Ama ndio kuongelea kwenye watsap grups na social nertwokrks tu?
Tafakar chukua hatua
Taifa lina wategemea wasomi
 
Wasomi waliobobea katika ngazi ya Maprofesa, Madaktari, na wenye Masters si ndio waliopiga hela kwenye mchongo huu wa Screw ya Tegeta? Unafikiri watakuwa na la kusema zaidi ya kutumika vibaya? Heri mimi sikusoma, nilifuta ujinga tu!
 
Wanachuo mnachukua hatua gan kuhusu issue ya ESCROW Kama wasomi ndan ya nchi.
Ama ndio kuongelea kwenye watsap grups na social nertwokrks tu?
Tafakar chukua hatua
Taifa lina wategemea wasomi

Kwani nchi hii nayo ina wasomi?
 
Ungemuulisa Benson Bana kuhuu hili uone midomo inavyomtetemeka!
 
Ujue nchi za wenzetu ukiangalia kama issue iliotokea china utaelewa nguvu ya wanafunzi walio Katika elimu ya juu...
 
mimi nakomaa na huyo rugemalila..........nyambavu zake.
 
Back
Top Bottom