Imarisha demokrasia kwanza ili uhuru wa kutoa maoni uheshimike, wapo wasomi wenye weledi mkubwa tu katika kupambanua mambo ila midomo yao imejaa maji, matokeo yake wanakuwa wanafiki kujishikamanisha na Serikali huku mioyo yao inauma, hii ni hatari sana aisee!