FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Kusema kweli kurudia kosa ndio kosa,kwa mda waliokaa lupango unatosha kwao kutubu kosa,kwa aliewahi kukaa lupango Siku tatu tu zinatosha kujutia
Wapo walioiba kama Mobutu,San Abacha Ila hawakuzifanyia kitu kikubwa ni kuzirejesha
Mtakatifu Papa Paul wa pili niliebahatika kumuona mwaka 1990 akilindwa juu na helkopta aliwahi kumsamehe mtuhumiwa aliemshambulia kwa risasi na alimtembelea selo hivyo nasie tungeiga moyo huo wa kusamehe
Kama tumemsamehe babu Seya na lulu hata hawa wanapaswa tuwaombee wasamehewe ili waje kulipa fadhira kwa kuajili vijana wengi zaidi
Kwa muda waliokaa wamejifunza
Instagram:kaukwaju
Wapo walioiba kama Mobutu,San Abacha Ila hawakuzifanyia kitu kikubwa ni kuzirejesha
Mtakatifu Papa Paul wa pili niliebahatika kumuona mwaka 1990 akilindwa juu na helkopta aliwahi kumsamehe mtuhumiwa aliemshambulia kwa risasi na alimtembelea selo hivyo nasie tungeiga moyo huo wa kusamehe
Kama tumemsamehe babu Seya na lulu hata hawa wanapaswa tuwaombee wasamehewe ili waje kulipa fadhira kwa kuajili vijana wengi zaidi
Kwa muda waliokaa wamejifunza
Instagram:kaukwaju