Wasomi jibuni

Wasomi jibuni

Hammer11

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
2,029
Reaction score
2,657
Tukisoma mambo ya hesabu agano la kale tunapata kuona Mungu alimjia Musa mlima sinai na akamweleza aende kuwakomboa wa misri kistarabu tuu pia tukija kuangalia Luke 26 malaika Gabriel alimtokea mwanamwali bikira mariam kistrabu na akamwambia utazaa mtoto utamwita Yesu ajabu sasa aliemtokea mtume kule Pangoni makkah na akamkaba na anajua kabisa mtume kusoma hajuii kweli huyoo ni malaika wa kutoka kwa mungu kwann asiwakabe wanyuma amkabe yeye tuu uje na ayaa asalam aleykum
 
Kilaza mfia dini
Elimu ilikupita kushoto...
Sema wafia didni wenzangu jibuni huu upupu
Hakuna msomi atajishughulisha na huu ujinga....
 
Back
Top Bottom