Wasomali walifikaje Tabora?

Wasomali walifikaje Tabora?

kutafuta maisha ndio kumewafikisha hapo
 
shasha maanzya fatilia shie? makosa kazi si بقججطبقجج,سف حددز ?
hapana fatilia watuججخطج?٠
 
Wasomali wamevunja rekodi ya kuwa stow-away,,wazamiaji wakubwa duniani!! Kuna dogo alizamia ndege kwenye wheel holes/vishimo vinavyoingiza matairi ya ndege.
 
Duh hapa naona unamtafuta Rage na Bashe.
 
nadhani watu hawa wana tabia ya kutangulizana na baadaye wengine kufuata, tunayashuhudia magari yanayokamatwa kwa sasa wakielekea South Africa kama ushahidi wa kufuata ndugu zao waliotangulia huko. Nchi yetu tunawaamini kwa haraka sana wageni na hata pengine hatuna screening za kutosha, kama tuna hadi wabunge wa aina hiyo, tuone jinsi ambavyo tunastahili wote kulaumiwa.

Waliwafuata ndugu zao ambao walifika salama na wakawaita kuwa huku kuna neema kuuubwa nao wakaifuata! na kwa palivyo kati ya nchi mara chache sana wanafuatiliwa ukilinganisha na mipakani
 
Miaka 3000 iliyopita walikuwa hapa Tanzania, na kwa huko Tabora walifika na wajerumani wakiwa askari baadae wakawa wafanya biashara wakubwa wakiwahudumia wazungu kama chakula, na nyama general merchants, wengi wao walipewa British nationalities na wakapelekwa Burma na nchi nyingine kupigana Vita vya pili, usishangae Tabora walianza kutembea nchi nyingi duniani na kufanya biashara aina nyingi wakati wengine wakiwa wanatembea uchi, kuhusu suala la wasomali kuwepo serikalini pia alikuwepo mkuu wa polisi ingawa hakuna wengi kwenye siasa lakini walichangia mchango mkubwa wakati wa kutafuta Uhuru
 
mkoa wa tabora una wananchi wengi wenye asili ya somalia. wamefikaje tabora isiyo hata upande wa kuelekea somalia?

Naomba nitajie familia 5 za wasomali wanaoishi Tabora kwa sasa,
Sio kweli wasomali ni wengi tabora! Nadhani huijui vizuri Tabora na labda nikusaidie kutaja kuna family moja ipo mtaa wa ngoma sakasi halafu nyingine ipo pembeni ya msikiti wa manyema ingine pale rufita ya kina rage. Family ya beder walishaondoka woote na ya mwisho ni yakina said msomali. Kama kuna ambazo nimezisahau hatazidi 2. Ukizichanganya zoote watu wake hawazidi 100. Hiyo ni tabora mjini.
Ukiangalia wilaya za urambo, nzega, sikonge na igunga family za kisomali hazizidi 10.
Nafikiri mtoa mada huijui Tabora vizuri au upo kisiasa zaidi, umeona kuna Rage na Bashe basi ndio imekua Tabora wasomali wengi!!! Au unadhani wakishinda uchaguzi basi wapiga kura wao watakua wasomali? Haa haa haaa.
They are not even 0.01% of the total population of Tabora.
Ni vizuri kuwapa watu taarifa sahihi sio siasa zitusukume kupotosha ukweli kwa makusudi.
I stand to be corrected
 
Miaka 3000 iliyopita walikuwa hapa Tanzania, na kwa huko Tabora walifika na wajerumani wakiwa askari baadae wakawa wafanya biashara wakubwa wakiwahudumia wazungu kama chakula, na nyama general merchants, wengi wao walipewa British nationalities na wakapelekwa Burma na nchi nyingine kupigana Vita vya pili, usishangae Tabora walianza kutembea nchi nyingi duniani na kufanya biashara aina nyingi wakati wengine wakiwa wanatembea uchi, kuhusu suala la wasomali kuwepo serikalini pia alikuwepo mkuu wa polisi ingawa hakuna wengi kwenye siasa lakini walichangia mchango mkubwa wakati wa kutafuta Uhuru

Mkuu kwani unatumia simu kuandika? maana ulichoandika ni point lakini zimekosa mifupa na nyama! Funguka kaka, weka na reference tujikumbushe bana.
 
Naomba nitajie familia 5 za wasomali wanaoishi Tabora kwa sasa,
Sio kweli wasomali ni wengi tabora! Nadhani huijui vizuri Tabora na labda nikusaidie kutaja kuna family moja ipo mtaa wa ngoma sakasi halafu nyingine ipo pembeni ya msikiti wa manyema ingine pale rufita ya kina rage. Family ya beder walishaondoka woote na ya mwisho ni yakina said msomali. Kama kuna ambazo nimezisahau hatazidi 2. Ukizichanganya zoote watu wake hawazidi 100. Hiyo ni tabora mjini.
Ukiangalia wilaya za urambo, nzega, sikonge na igunga family za kisomali hazizidi 10.
Nafikiri mtoa mada huijui Tabora vizuri au upo kisiasa zaidi, umeona kuna Rage na Bashe basi ndio imekua Tabora wasomali wengi!!! Au unadhani wakishinda uchaguzi basi wapiga kura wao watakua wasomali? Haa haa haaa.
They are not even 0.01% of the total population of Tabora.
Ni vizuri kuwapa watu taarifa sahihi sio siasa zitusukume kupotosha ukweli kwa makusudi.
I stand to be corrected

Asante kaka! kitufe cha like naona kimeenda likizo kikirejea nitakugongea.
 
Back
Top Bottom