Wasiopata barua -interview tra,post ass/accountant

Wasiopata barua -interview tra,post ass/accountant

KUNDAN

Member
Joined
Nov 30, 2012
Posts
34
Reaction score
9
wadau wenzangu naomba munisaide,nini cha kufanya au nipotezee?
TRA wamenipigia simu kwa ajili ya interview trh 11.09 pale PTA77.
Mpaka sasa kwenye email yangu hakuna inbox ya barua waliyosema watatuma ,pia kwenye physical address patupu.
nikawa nasubiri scenario kama hii ya wahanga wengine kama wapo,naona kimya au ni peke yangu? kama vipi nisiwachoshe TRA nichukulie walikosea kunipigia?

Mchango wenu wadau wa kifikra nauhitaji.
 
Wakati unaoa ulianza kusema""tutakuwa wote kwenye shida na raha mpaka mungu atakapotutenganisha ama ulianza kwa kusaini..kingine pengine ujaoa ...ulipozaliwa uliikuta kadi yako ya kuzaliwa tayari??kama sio nenda walipokuelekeza ukifanikiwa usiache kutoa zaka kwa mungu
alamsiki
 
wadau wenzangu naomba munisaide,nini cha kufanya au nipotezee?
TRA wamenipigia simu kwa ajili ya interview trh 11.09 pale PTA77.
Mpaka sasa kwenye email yangu hakuna inbox ya barua waliyosema watatuma ,pia kwenye physical address patupu.
nikawa nasubiri scenario kama hii ya wahanga wengine kama wapo,naona kimya au ni peke yangu? kama vipi nisiwachoshe TRA nichukulie walikosea kunipigia?

Mchango wenu wadau wa kifikra nauhitaji.
angalia vizuri mails hata kwenye spam or otherwise subiri mayb bado hawajakutumia coz muda bado...
 
Wapigie kwa iyo namba walio kupigia uwaeleze tatizo lako watakusikiliza na watakutumia iyo email, kwani kuna mtu alipata tatizo kama hilo alivyo wapigia wakamtumia.
 
Mkuu me wacwac wangu upo sehemu 1, siamini kama emails zili2mwa automatically na system yao. Nahic kama kuna m2 au wa2 walipewa hiyo kazi ya kuforward hizo emails pengine kutokana na human error watakuwa ama wamesahau kuwa2mia baadhi ya wa2 au wamekosea herufi wkt wanatype email address zao that's y baadhi ya wa2 hawajapata email zao.
Jaribu kupiga hiyo No. hlf uwape email upya tena kwa ufasaha vinginevyo kama utakosea spelling hata 1 tatizo litakua pale pale. Ni huo 2 mtazamo wangu.
 
ndugu yangu hata mimi walinipigi cm tarehe28 ila hadi leo cja pata hiyo email yao
 
hata mie nimepigiwa simu na hao jamaa! lakini tujipeni moyo tu mungu atatenda!
 
Back
Top Bottom