Wasiooa – walioachika - kufa mapema.

Wasiooa – walioachika - kufa mapema.

Kwa hiyo unaniambia na wale wanaouawa na wake/waume zao wamechelewa kufa zaidi ya wanaoamua kutooa/ walioachika?

This type of study is a shame to academia.

Kuna watu fulani si marriage material na washajijua na hawataki kuwapa wengine shida, hao nao unataka kuniambia watakuwa na maisha marefu kwa kuwa katika ndoa na kupigizana kelele kila siku?


wewe lazima utakuwa ni MSEJA! Naona unaofia kufa mapema. Ingekuwa vizuri nawe ukaja na tafiti inayoonyesha jinsi unavyotaka.
 
Kwa hiyo unaniambia na wale wanaouawa na wake/waume zao wamechelewa kufa zaidi ya wanaoamua kutooa/ walioachika?

This type of study is a shame to academia.

Kuna watu fulani si marriage material na washajijua na hawataki kuwapa wengine shida, hao nao unataka kuniambia watakuwa na maisha marefu kwa kuwa katika ndoa na kupigizana kelele kila siku?


mkuu sidhani kama awa jamaa wamekosea kufuatana na kuweka hizi tafiti mbalimbali zilizojumuisha mataifa tofauti.
Labda ni kwa vile watanzania vyama vya siasa vimetuharibu' tunapenda kupinga kila kitu.
 
Reach hii itawafanya wenye matatizo ya ndoa: hasa walioumizwa na wenzi wao wasikubaliane na huu utafiti - unatonesha vidodo, ambavyo ni vigumu kupona kwa sababu ya muhovu shetani.
 
wewe lazima utakuwa ni MSEJA! Naona unaofia kufa mapema. Ingekuwa vizuri nawe ukaja na tafiti inayoonyesha jinsi unavyotaka.

I defy simplistic definitions and idiocratic generalizations disguised as academic researches.

The scientific process is based on questions, mine are still unanswered.
 
mkuu sidhani kama awa jamaa wamekosea kufuatana na kuweka hizi tafiti mbalimbali zilizojumuisha mataifa tofauti.
Labda ni kwa vile watanzania vyama vya siasa vimetuharibu' tunapenda kupinga kila kitu.

Kati ya hao waliofanya hiyo research au hao waliotafsiri kiswahili kuna kuchemka in that hawajadefine ndoa ni nini.

Unaandika ripoti ndeefu kuhusu "wasiooa/ walioachika kufa mapema" bila hata kutueleza unamaanisha nini kwa "kuoa"?

Tatizo letu Watanzania sio tunapinga sana, bali tunapinga kidogo na kwa mkumbo.
 
hahaaaa hii kali za ndoa zinaeza kukuondoa kabla ya siku zako.
 
Reach hii itawafanya wenye matatizo ya ndoa: hasa walioumizwa na wenzi wao wasikubaliane na huu utafiti - unatonesha vidodo, ambavyo ni vigumu kupona kwa sababu ya muhovu shetani.

Ndo maana mimi nasema tafiti kama hizi kuzichukua kichwa kichwa noma.

Mtu anafanya utafiti Maine huko, anasema maji ya bomba ni salama na sawasawa na maji yanayouzwa kwenye chupa, gazeti la Mwananchi lina copy paste na kuandika, wabongo wanataka kunywa maji ya rangi ya ukwaju yanayotoka kwenye mabomba yetu yaliyojaa kutu!
 
Du kwa hiyo mie nianze kuacha urithi?? hayaaa wafanye na utafiti ambao wako kwenye ndoa na wanakufa haraka ni nini kinasababisha.............
 
hii article inataka kuleta ogomvi na kanisa la RC... mbona Watawa wa RC wanaishi muda mrefu sana au kuna siri behind?
 
hii article inataka kuleta ogomvi na kanisa la RC... mbona Watawa wa RC wanaishi muda mrefu sana au kuna siri behind?


... Masikio tunayo lakini' hatusiki..., na macho tunayo lakini hatuoni.
Huwezi kulinganisha watawa wa RC na watu wakaida.
Kuwa mtawa kwanza unatakiwa kujipanga (kujitoa) na kukubaliana utaratibu mzima wa RC.
Na kama umesoma vizuri utafiti huu na kuelewa utagundua mambo yaliyoelezewa ndani yake' ni kutoka na msongo wa mawazo, n.k .
Kwahiyo mapadri na masista wao walishajitoa kuwa maisha yao niya kuishi kama walivyo, ndiyo maana kwa kanisa katoliki kuna aina na ngazi za maisha yao; kuanzia mtoto mpaka unafika umri wa mtu mzima na kuhamua kuchagua kama unata kuwa MTAWA au MLEI; kwahiyo mapadri na masista "tunasema wanawito" wamejiweka mbele za Mungu kuishi hivyo maishani, ndiyo maana utafiti huu hauwezi kuwahusisha wao; kwani hawana maisha ya mwingiliano kama sisi tuliochagua upande mwingine wa mahusiano.
 
Asante sana mkuu KBM kwa kuweka mlinganisho wa hizi research mbili zenye muonekano unaokaribiana. Kwangu mimi ni dawa tosha ya kuepuka stress na jinsi na kuweza kuongeza umri wa kuishi.
 
Katika ma-bar yote kwa viwango vya kawaida ila michezo kiwango cha juu sana

Mahoteli makubwa kwa viwango vya juu ila michezo yao duni

Wanapatikana wapi hawa kongosho
 
sasa mpaka mhadhiri mwandamizi kitengo cha Sayansi na Uchumi mkaenda kumhoji kuhusu mambo ya mahusiano? Is he a sexologist?
 
Back
Top Bottom