Naitwa Ustafhi Ally nipo babati.kuna mabinti wawili wameniomba niweke tangazo lao kuwa wanatafuta kazi za ndani.mshahara 35000 kwa mawasiliano piga 0714121228.
Mmmmmmmh
Shikamoo dada. . . . .
Nahitaji ila nauli ya kutuma sina..wako tayari kuja dar wakifika niwarudishie nauli?