Naomba nipate ufafanuzi kwaabinti hivi shida huwa inakuwa ni nini pale uanapokutana sehemu za starehe na mwanaume kama bar,grocery anataka mkae mule wote, na mnywe wote na mwanaume na kumwambia umaumwa tumbo
Hivi hili kisingizio cha tumbo kwanini ni kwa wanawake,wengi??
Mnakuwa mnamaanisha nini??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hili kisingizio cha tumbo kwanini ni kwa wanawake,wengi??
Mnakuwa mnamaanisha nini??
Sent using Jamii Forums mobile app
