Sikununu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 341
- 100
Hii tabia ya watoto wa kike kuvaa kanga moko na juu blauzi bila bra ndani imetuchosha huku uswahilini,
Yani unakuta mtoto kajiachia njiani na kanga moko ndani ana chu**pi tu tena hizi za siku hizi anatembea kwa madaha na kujishembendua na anajua wewe upo mbele yake unakuja basi anafanya makusudi kuiregeza halafu anaifungua hili aikaze eti, huku mjomba umeshaona jografia yote kuanzia milima na Mabonde maana huyo kiumbe mwenyewe unakuta mashalaah kwenye jografia yake.
Baada ya kufanya uchunguzi nimegundua huu ni mpango madhubuti ili kutupima mihemko sisi wanaume marijari na wenye familia zetu tena hasa pale wanapojifanya wanaenda dukani au sokoni.
Hii tabia imeongezeka sana bila kujali maslahi ya taifa kwamba sisi wengine ni wame za watu na tunaheshimu sana ndoa zetu hata kama zina migogoro
Ni hayo tu.
Yani unakuta mtoto kajiachia njiani na kanga moko ndani ana chu**pi tu tena hizi za siku hizi anatembea kwa madaha na kujishembendua na anajua wewe upo mbele yake unakuja basi anafanya makusudi kuiregeza halafu anaifungua hili aikaze eti, huku mjomba umeshaona jografia yote kuanzia milima na Mabonde maana huyo kiumbe mwenyewe unakuta mashalaah kwenye jografia yake.
Baada ya kufanya uchunguzi nimegundua huu ni mpango madhubuti ili kutupima mihemko sisi wanaume marijari na wenye familia zetu tena hasa pale wanapojifanya wanaenda dukani au sokoni.
Hii tabia imeongezeka sana bila kujali maslahi ya taifa kwamba sisi wengine ni wame za watu na tunaheshimu sana ndoa zetu hata kama zina migogoro
Ni hayo tu.