ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,844
- 60,774
Aiseeee!!mkuu ni noma kumbe umeshagundua jinsi wanavojifanya kuikaza
Teh teh teh..imekuchosha wewe Sikununu!..endelea tu kukoroma kama chura!..tuachie sie tutakase!
..tena na mvua zianze,balaa lao wakati wanakinga maji!
Tutavaaje khanga? Dada BADILI TABIA
Juu mnapiga vesti, kiunoni mnafunga khanga
,.........tunaheshimu sana ndoa zetu hata kama zina migogoro
Ni hayo tu
Wewe vipi atapiga marufuku halafu sisi tutakosa chakula cha macho.Ngoja Magufuli atafanya ziara ya kushtukiza huku uswahilini ili naye akumbane na maswahibu yanayotukuta
Mama mtu kasharudi nyumbani baada ya kusikia kilio changu tena hapa ndio nmerudi job ananichambua kama karanga huku akinitumbua chunusi, zoezi la kuacha kukoroma nmesharianza tokea wiki iliyopita..
Nikinasa kunitoa kazi ndio maana sitaki hii michepuko
Pumbavu kabisa peleka mada yako kwenye jukwaa lenu la mapenzi.
Ni mstaarabu sana bado ndio mana hakutaja jinaDu...
Aisee hii ni hatari...kiustaarabu huwezi kumattack mtu hivi hata kama sheria za JF zinakulinda...jifunze kuwa mstaarabu,haya ni maisha tu...huwezi jua uadui unaoujenga leo kwa watu usiowajua na unaowajua kwa sababu labda ya mali au ujuaji..
Unaweza kukusambaratisha na usipate kabisa wa kukuunga mkono au kukusaidia kwenye maisha baadae
Achana nae anapoteza muda wako haelewi badoNaomba Unijibu Maswali Yangu Haya KUNTU Ili Nipime UELEWA Wako Nisije Nikawa Napoteza Muda Wangu Na POPOMA LILILOTUKUKA.
Nasubiri Kwa Hamu Sana Majibu Ya Haya Maswali.
- Je Katajwa Mtu Jina Hapo?
- Ofisi Nyuma Ya Kebbys Wewe Umejua Labda Ni Ipi?
- Huyo Mke Wake Na Huyo Kimada Wake Wa Kimasai Wewe Unawajua?
- Hiyo ID Yake Nyingine Wewe Unaijua?
- Hao Wafanyakazi Anaolala Nao Unawajua Labda Utusaidie Kututajia Hata Baadhi?
- Je Wewe Ni Jinsia Gani? au Ni SEMENYA?
- Hilo Tusi Ulilotukana Hapo Mwisho Unadhani Mods Wakuache Tu au Na Wewe Sheria Za JF Zinakulinda?
Sipati picha shape za siafu ndani ya khanga na vest mmmhJuu mnapiga vesti, kiunoni mnafunga khanga