WASHINGTON: Rais wa Taiwan Tsai Weng kukutana na Speaker wa bunge la Marekani McCanty licha ya vitisho vya Uchina

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Sep 25, 2018
1,114
3,768
Rais wa Taiwan Tsai Weng yuko ziarani katika nchi za Amerika ambapo atasimama katika majimbo 2 ya Marekani ya New York na California kabla ya kuelekea katika nchi za Belize na Guantamala.

Akiwa jimbo la California, rais wa Taiwan atakutana na Spika wa bunge la wawakilishi la Marekani Mrepublican McCanthy licha ya Uchina kupinga ziara hiyo. Uchina imetishia kujibu vikali endapo Weng atakutana na spika huyo.

Mwezi uliopita Taiwan iliingia mkataba na Marekani wa kununua makombora 100 ya Masafa marefu yenye uwezo wa kuzamisha Meli za kivita umbali wa Kilometa 600. Umbali kutoka kisiwa cha Taiwan mpaka Uchina bara ni Kilometa 130.

US House Speaker Kevin McCarthy’s plan to meet Taiwan President Tsai Ing-wen has provoked anger in Beijing. Why is China so upset at a meeting between Tsai and McCarthy?
 
Makombora 100 ya kuzamisha meli? Na umbali kutoka Taiwan hadi China ni 130km? Makombora waliyonunua yanapasua mpaka 600km. Hatari sana.

Wachukue na makombora ya kawaida ya kupasua mpaka nchini China. Huyu Taiwan hana mchezo. US katulia zake tu home, anatazama watu wanavyopasuana.
 
China anajaribu ikimbia USD ili akimvamis Taiwan asiweze wekewa vikwazo vya kibiashara.

China anaongeza Navy yake ili akimvamia Taiwan afanye mapema na aweze zuia misaada kutoka Marekani, Japan, Na wengine
Taiwan kanunua makombora huko ya Navy. Zitazamishwa meli huko balaa. Mimi naamini China hawezi kujaribu kufanya huo ujinga.

Kinachoendelea Ukraine ni funzo tosha kwa China.
 
US anapiga kila upande wali moto mchuzi moto, China ananuna lakini hana vyakufanya, Urusi kanuna Finland ilipoenda NATO lakini hana cha kufanya
Kwa hiyo wewe unafurahi kabisa USA anavyoeneza siasa zake za chuki,, Putin akijihami kwa kuwarudisha nyuma maadui mnamwita mvamizi,, movie za Hollywood zimekuharibu kwa kukubali kila kitu anachofanya mmarekani ni kizuri
 
Rais wa Taiwan Tsai Weng yuko ziarani katika nchi za Amerika ambapo atasimama katika majimbo 2 ya Marekani ya New York na California kabla ya kuelekea katika nchi za Belize na Guantamala.

Akiwa jimbo la California, rais wa Taiwan atakutana na Spika wa bunge la wawakilishi la Marekani Mrepublican McCanthy licha ya Uchina kupinga ziara hiyo. Uchina imetishia kujibu vikali endapo Weng atakutana na spika huyo.

Mwezi uliopita Taiwan iliingia mkataba na Marekani wa kununua makombora 100 ya Masafa marefu yenye uwezo wa kuzamisha Meli za kivita umbali wa Kilometa 600. Umbali kutoka kisiwa cha Taiwan mpaka Uchina bara ni Kilometa 130.

US House Speaker Kevin McCarthy’s plan to meet Taiwan President Tsai Ing-wen has provoked anger in Beijing. Why is China so upset at a meeting between Tsai and McCarthy?
weny akili wanajihami mapema , mandondocha ya Afrika yanakenua tu BIG UP KWA TAIWAN KWA KUKATAA UTUMWA
 
US anapiga kila upande wali moto mchuzi moto, China ananuna lakini hana vyakufanya, Urusi kanuna Finland ilipoenda NATO lakini hana cha kufanya
kosa alilofanya china ni kujiunga na Russis itamcost sana aliamin viongoz wa Afrika wanaaminika , wenzie wanataka ela bara la afrika soon litamkimbia
 
Makombora 100 ya kuzamisha meli? Na umbali kutoka Taiwan hadi China ni 130km? Makombora waliyonunua yanapasua mpaka 600km. Hatari sana.

Wachukue na makombora ya kawaida ya kupasua mpaka nchini China. Huyu Taiwan hana mchezo. US katulia zake tu home, anatazama watu wanavyopasuana.
hao Taiwan wameanza kuwa na technology kabla ya China mainland , na wanajipanga mapema
 
Kwa hiyo wewe unafurahi kabisa USA anavyoeneza siasa zake za chuki,, Putin akijihami kwa kuwarudisha nyuma maadui mnamwita mvamizi,, movie za Hollywood zimekuharibu kwa kukubali kila kitu anachofanya mmarekani ni kizuri
tumia akili , Taiwan kaenda USA kununua , sio kuivamia TAIWAN kama anavyotaka China kufanya hvyo
 
Rais wa Taiwan Tsai Weng yuko ziarani katika nchi za Amerika ambapo atasimama katika majimbo 2 ya Marekani ya New York na California kabla ya kuelekea katika nchi za Belize na Guantamala.

Akiwa jimbo la California, rais wa Taiwan atakutana na Spika wa bunge la wawakilishi la Marekani Mrepublican McCanthy licha ya Uchina kupinga ziara hiyo. Uchina imetishia kujibu vikali endapo Weng atakutana na spika huyo.

Mwezi uliopita Taiwan iliingia mkataba na Marekani wa kununua makombora 100 ya Masafa marefu yenye uwezo wa kuzamisha Meli za kivita umbali wa Kilometa 600. Umbali kutoka kisiwa cha Taiwan mpaka Uchina bara ni Kilometa 130.

US House Speaker Kevin McCarthy’s plan to meet Taiwan President Tsai Ing-wen has provoked anger in Beijing. Why is China so upset at a meeting between Tsai and McCarthy?
China huwa wanaijibu vikali kwa kutuma maputo.
 
Taiwan atapigwa kama ngoma na hamna kitu USA atafanya zaidi ya kujaza sanction za kipuuzi. Wacha tuone hii saga itaishia wapi.

weny akili wanajihami mapema , mandondocha ya Afrika yanakenua tu BIG UP KWA TAIWAN KWA KUKATAA UTUMWA
 
Taiwan atapigwa kama ngoma na hamna kitu USA atafanya zaidi ya kujaza sanction za kipuuzi. Wacha tuone hii saga itaishia wapi.

weny akili wanajihami mapema , mandondocha ya Afrika yanakenua tu BIG UP KWA TAIWAN KWA KUKATAA UTUMWA
 
Kwa hiyo wewe unafurahi kabisa USA anavyoeneza siasa zake za chuki,, Putin akijihami kwa kuwarudisha nyuma maadui mnamwita mvamizi,, movie za Hollywood zimekuharibu kwa kukubali kila kitu anachofanya mmarekani ni kizuri
Hawa mashoga ndio wale wale waliosema Magufuli anachukia matajiri kwa kuwalazimisha walipe kodi za serikali. Ila sasa wapo kimya kwa sababu mama ameruhusu wafanye ufisadi watakavyo kmmmae zao.
 
Back
Top Bottom