Washehereshaji acheni kuharibu shughuli za watu

Didododi

JF-Expert Member
Jul 21, 2023
321
426
Wanajukwaa mko pouwaa. Moja kwa moja kuwatemea hoja hawa jamaa.Hawa jamaa ni wa muhimu sana kwenye shughuli na Wana mchango wa kuifanya shughuli either ipendeze au isipendeze. Baadhi yao wanajikuuuuta mwisho wa siku wanaharibu masuala.

Unakuta mmepambana kutoa michango ya hali na mali ulimradi shughuli muifanikishe alaf mc anakuja haribu mambo.

Kwa Mfano Kuna harusi Moja niliattend ilipofika muda wa chakula mc akawa anapiga beat anasema mimi ndiye ninayeamsha watu (kwenye meza)ole wako usimame kabla sjakuruhusu nitakutaja kwa jina,nguo uliyovaa na nakuhakikishia nitakuaibisha,Sasa nikajiuliza kipindi cha mchango polite language ndiyo hutawala "naomba usisahau kale ka mchango jamani,"naombeni ndugu zangu msiniangushe" Leo watu wamechanga wameattend tukio eti "nitakuaibisha🥱

KAULI KAMA HIZI ZINAWAFEDHEHESHA WASHIRIKI AMBAO ASILIMIA KUBWA NDIO WACHANGIAJI PIA, KUFUATA UTARATIBU ULIOWEKWA NI MUHIMU ILA TUONGOZANE KISTAARABU KAMA USTAARABU ULIVYOTUMIKA WAKATI WA KUOMBA MCHANGO
=====================================
Narudia ma mc acheni kuharibu shughuli za watu

Tupia ka kero kokote ka mc ambako usha wahi kutana nako
 
Wanajukwaa mko pouwaa. Moja kwa moja kuwatemea hoja hawa jamaa.Hawa jamaa ni wa muhimu sana kwenye shughuli na Wana mchango wa kuifanya shughuli either ipendeze au isipendeze.Baadhi yao wanajikuuuuta mwisho wa siku wanaharibu maswala.Unakuta mmepambana kutoa michango ya hali na mali ulimradi shughuli muifanikishe alaf mc anakuja haribu mambo.Kwa Mfano Kuna harusi Moja niliattend ilipofika muda wa chakula mc akawa anapiga beat anasema mimi ndiye ninayeamsha watu (kwenye meza)ole wako usimame kabla sjakuruhusu nitakutaja kwa jina,nguo uliyovaa na nakuhakikishia nitakuaibisha,Sasa nikajiuliza kipindi cha mchango polite language ndyo hutawala "naomba usisahau kale ka mchango jamani,"naombeni ndugu zangu msiniangushe" Leo watu wamechanga wameattend tukio eti "nitakuaibisha🥱
KAULI KAMA HIZI ZINAWAFEDHEHESHA WASHIRIKI AMBAO ASILIMIA KUBWA NDIO WACHANGIAJI PIA, KUFUATA UTARATIBU ULIOWEKWA NI MUHIMU ILA TUONGOZANE KISTAARABU KAMA USTAARABU ULIVYOTUMIKA WAKATI WA KUOMBA MCHANGO
=====================================
Narudia ma mc acheni kuharibu shughuli za watu

Tupia ka kero kokote ka mc ambako usha wahi kutana nako
Mkuu fuata utaratibu ktk shughuli bana
 
Wanajukwaa mko pouwaa. Moja kwa moja kuwatemea hoja hawa jamaa.Hawa jamaa ni wa muhimu sana kwenye shughuli na Wana mchango wa kuifanya shughuli either ipendeze au isipendeze.Baadhi yao wanajikuuuuta mwisho wa siku wanaharibu maswala.Unakuta mmepambana kutoa michango ya hali na mali ulimradi shughuli muifanikishe alaf mc anakuja haribu mambo.Kwa Mfano Kuna harusi Moja niliattend ilipofika muda wa chakula mc akawa anapiga beat anasema mimi ndiye ninayeamsha watu (kwenye meza)ole wako usimame kabla sjakuruhusu nitakutaja kwa jina,nguo uliyovaa na nakuhakikishia nitakuaibisha,Sasa nikajiuliza kipindi cha mchango polite language ndyo hutawala "naomba usisahau kale ka mchango jamani,"naombeni ndugu zangu msiniangushe" Leo watu wamechanga wameattend tukio eti "nitakuaibisha🥱
KAULI KAMA HIZI ZINAWAFEDHEHESHA WASHIRIKI AMBAO ASILIMIA KUBWA NDIO WACHANGIAJI PIA, KUFUATA UTARATIBU ULIOWEKWA NI MUHIMU ILA TUONGOZANE KISTAARABU KAMA USTAARABU ULIVYOTUMIKA WAKATI WA KUOMBA MCHANGO
=====================================
Narudia ma mc acheni kuharibu shughuli za watu

Tupia ka kero kokote ka mc ambako usha wahi kutana nako
Kuna watu wakiona Chakula cha Harusini wanakuwa na UCHU hata FISI ana nafuu, hasa hasa wale wenye michango ya Elfu 30 ili apate kadi ni kero. Manung'uniko kama yako huwezi yakuta kwa wale wenye michango ya 200K na kuendelea. Dizaini yako mnaenda mpaka na Vifunganishio kubeba Bia na Juice kupeleka nyumbani. Imefikia hatua hadi hata chakula mnabeba sahahi kadhaa ili mpeleke makwenu sasa kwa tabia hizi za kudhibiti huu uhuni wenu MC yuko sahihi. Subira ni muhimu sana kwenye sherehe uliyoalikwa usipende kuparamia foleni au kukaa meza usiyostahili.
Ovva
 
Wanajukwaa mko pouwaa. Moja kwa moja kuwatemea hoja hawa jamaa.Hawa jamaa ni wa muhimu sana kwenye shughuli na Wana mchango wa kuifanya shughuli either ipendeze au isipendeze. Baadhi yao wanajikuuuuta mwisho wa siku wanaharibu masuala.

Unakuta mmepambana kutoa michango ya hali na mali ulimradi shughuli muifanikishe alaf mc anakuja haribu mambo.

Kwa Mfano Kuna harusi Moja niliattend ilipofika muda wa chakula mc akawa anapiga beat anasema mimi ndiye ninayeamsha watu (kwenye meza)ole wako usimame kabla sjakuruhusu nitakutaja kwa jina,nguo uliyovaa na nakuhakikishia nitakuaibisha,Sasa nikajiuliza kipindi cha mchango polite language ndiyo hutawala "naomba usisahau kale ka mchango jamani,"naombeni ndugu zangu msiniangushe" Leo watu wamechanga wameattend tukio eti "nitakuaibisha🥱

KAULI KAMA HIZI ZINAWAFEDHEHESHA WASHIRIKI AMBAO ASILIMIA KUBWA NDIO WACHANGIAJI PIA, KUFUATA UTARATIBU ULIOWEKWA NI MUHIMU ILA TUONGOZANE KISTAARABU KAMA USTAARABU ULIVYOTUMIKA WAKATI WA KUOMBA MCHANGO
=====================================
Narudia ma mc acheni kuharibu shughuli za watu

Tupia ka kero kokote ka mc ambako usha wahi kutana nako
Hivi nyie hua mnaalikwa na kina nani?
 
Wanajukwaa mko pouwaa. Moja kwa moja kuwatemea hoja hawa jamaa.Hawa jamaa ni wa muhimu sana kwenye shughuli na Wana mchango wa kuifanya shughuli either ipendeze au isipendeze. Baadhi yao wanajikuuuuta mwisho wa siku wanaharibu masuala.

Unakuta mmepambana kutoa michango ya hali na mali ulimradi shughuli muifanikishe alaf mc anakuja haribu mambo.

Kwa Mfano Kuna harusi Moja niliattend ilipofika muda wa chakula mc akawa anapiga beat anasema mimi ndiye ninayeamsha watu (kwenye meza)ole wako usimame kabla sjakuruhusu nitakutaja kwa jina,nguo uliyovaa na nakuhakikishia nitakuaibisha,Sasa nikajiuliza kipindi cha mchango polite language ndiyo hutawala "naomba usisahau kale ka mchango jamani,"naombeni ndugu zangu msiniangushe" Leo watu wamechanga wameattend tukio eti "nitakuaibisha🥱

KAULI KAMA HIZI ZINAWAFEDHEHESHA WASHIRIKI AMBAO ASILIMIA KUBWA NDIO WACHANGIAJI PIA, KUFUATA UTARATIBU ULIOWEKWA NI MUHIMU ILA TUONGOZANE KISTAARABU KAMA USTAARABU ULIVYOTUMIKA WAKATI WA KUOMBA MCHANGO
=====================================
Narudia ma mc acheni kuharibu shughuli za watu

Tupia ka kero kokote ka mc ambako usha wahi kutana nako
Hawa ni washenzi sana, kuna MC mmoja mjinga alikuwa Chinga na sasa kawa MC mkubwa ana vigari na viduka vyake siku utamsikia oh mimi nina pesa, nyie mnaopinga bandari kwenda kwa waarabu hamjui hata bandari ilipo mara hata hamjawahi kusafirisha kontena, wengi ni washamba ni wachache wenye shule zao ambao waliingia kwenye u MC baada ya kuona kuna pesa rahisi.
 
Wanajukwaa mko pouwaa. Moja kwa moja kuwatemea hoja hawa jamaa.Hawa jamaa ni wa muhimu sana kwenye shughuli na Wana mchango wa kuifanya shughuli either ipendeze au isipendeze. Baadhi yao wanajikuuuuta mwisho wa siku wanaharibu masuala.

Unakuta mmepambana kutoa michango ya hali na mali ulimradi shughuli muifanikishe alaf mc anakuja haribu mambo.

Kwa Mfano Kuna harusi Moja niliattend ilipofika muda wa chakula mc akawa anapiga beat anasema mimi ndiye ninayeamsha watu (kwenye meza)ole wako usimame kabla sjakuruhusu nitakutaja kwa jina,nguo uliyovaa na nakuhakikishia nitakuaibisha,Sasa nikajiuliza kipindi cha mchango polite language ndiyo hutawala "naomba usisahau kale ka mchango jamani,"naombeni ndugu zangu msiniangushe" Leo watu wamechanga wameattend tukio eti "nitakuaibisha🥱

KAULI KAMA HIZI ZINAWAFEDHEHESHA WASHIRIKI AMBAO ASILIMIA KUBWA NDIO WACHANGIAJI PIA, KUFUATA UTARATIBU ULIOWEKWA NI MUHIMU ILA TUONGOZANE KISTAARABU KAMA USTAARABU ULIVYOTUMIKA WAKATI WA KUOMBA MCHANGO
=====================================
Narudia ma mc acheni kuharibu shughuli za watu

Tupia ka kero kokote ka mc ambako usha wahi kutana nako
Mkuu ungemtaja tu huyo Mc wa huko kijijini kwenu maana hao ma Mc wa vijijini ndio huwa wana maneno ya kishenzi yaliyojaa ukakasi sana, sisi wa mjini hatufanyi ivo, suala la kuinua wageni kwa ajili ya chakula huwa linasamamiwa na kamati husika na hili tunalifanya ili kujitoa kwenye lawama kama hizi, tunaiachia kamati ndio ipambane na wageni wao
 
Kusukumana na watu kukimbilia tambi, ndizi za kukaanga na vipande vya nyama, Kwa umri wangu siwezi ndio maana nikinywa maji au bia mbili kwangu imetosha.
Punguza kujikweza ndugu. Una umri kumzidi Kikwete na wazee wengine wazito nchi hii ambao wako humble? Acha kujikweza.
 
Back
Top Bottom