Washauri wa Rais wanapatikanaje?

Washauri wa Rais wanapatikanaje?

Joined
Jan 10, 2014
Posts
48
Reaction score
8
Habari za majukumu wana jamvi.

Natamani kujua hawa watu wanaoitwa washauri wa Raisi ni namna gani wanapatikana?

Na je huwa wanastaafu? yaani kuna uwezekano Washauri aliowatumia Mheshimiwa Mwinyi, Mh. Mkapa, na Mh. Kikwete ndiyo hao anaowatumia Mh. Rais wetu Magufuri?

Na je inapotokea Raisi akashauriwa jambo na washauri wake/kupishana kauli naye akalikataa nani anaingilia kuwapatisha?

Ni hayo tu karibuni
 
Mnaomshauri rais ni kweli mnamshauri kitaalamu na mnamifano mingi na model nyingi ila kwasasa mmewahi mno nchi inakwenda mrama hakika nawaambia wakulaumiwa mtakuwa nyie sio mh. Rais japo hatuwajui

Nchi inakwenda mrama hakika na mbaya zaidi inaonekana kuna kitu kati ya watumishi wa umma na serikali fikirieni upya
 
Rais hana mshauri. Hakuna mtu Ikulu ambaye ni Counsel to the President.
Hii message yako haikuandikwa kwa usahihi.
 
Back
Top Bottom