Excellent ! Hawa UKAWA sijui wanatutaka nini waTanzania! Wanapenda kupotsha UKWELI!Huyo alikuwa Lincolin kule U.S.A, hapa ni Tanzania tuache us wafanye yao nasi hapa tufanye yatupasayo. Magufuli hachukii matajiri ila anachukia wakwepa kodi na mafisadi; Magufuli hawadhoofishi wenye fedha na matajiri huchukia njia haramu za kupata fedha na utajiri; Magufuli anapenda uadilifu
Halafu mwalimu wa lincolin si wa magufuli!
Wanajamvi watukuka,
Nina imani kuu kwamba wasaidizi wa rais wetu kipenzi wamo humu, Naomba wamfikishie ujumbe huu nilioupata mtandaoni na aufanyie kazi.
![]()
Wasalaam
Mafisadi and the like ndio wanamiliki njia kuu za uchumi Tanzania. Nina hamu ya kuona ufisadi WA Epa, Richmond, na sasa Escrow rais wetu atatumia approach gani kuyapatia solution. Itakuwa vita ngumu na isiyowezekana akiwa ndani ya mtumbwi huo huo unaosukwa sukwa na mawimbi. Naomba mumfikishie ujumbe huu tafadhali.Huyo alikuwa Lincolin kule U.S.A, hapa ni Tanzania tuache us wafanye yao nasi hapa tufanye yatupasayo. Magufuli hachukii matajiri ila anachukia wakwepa kodi na mafisadi; Magufuli hawadhoofishi wenye fedha na matajiri huchukia njia haramu za kupata fedha na utajiri; Magufuli anapenda uadilifu
Halafu mwalimu wa lincolin si wa magufuli!