Washauri wa Lowassa Tafadhari Mshaurini hili Mzee wetu...

Washauri wa Lowassa Tafadhari Mshaurini hili Mzee wetu...

Dont go away

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2014
Posts
501
Reaction score
208
Lowassa anaweza kwenda Mahakama kuu kuiomba mahakama baada ya kujiridhisha itamke kumsafisha Lowassa mbele ya macho ya watanzania baadhi walioaminishwa huu uongo kuwa Lowassa ni FISADI, lakini ukiwauliza alifisadi nini? hawana jibu la msingi na la maana.

Wanasema eti alifisadi mkataba wa Richmond!! jamani, nani asiyejua siri iliyojificha nyuma ya pazia?

Pia lowassa atalazimika kufafanua neno kwa neno mbele ya CC ya ccm pindi jina lake litakapopitishwa kuwa miongoni mwa majina ya wagombea urais wa CCM.

Hivyo, naomba sana Lowassa atafakari kwa kina ushauri huu, aende mahakamani ikibidi kwa hati ya dharura aiombe mahakama kuu itamke kuwa "Lowassa ni mtu safi na mwadilifu"

Hii itasaidia kukata midomo ya watu kuwa, hata kwa dodoki hasafishiki.
 
Ushauri kwa MODS; Tunaomba mfungue forum maalum ya Lowasa maana sasa ishakuwa kero. Kila thread Lowasa kila post Lowasa. Anzisheni jukwaa la Lowasa ili nasi tupumue
 
Si kama siri iliyojificha nyuma ya Escrow!! kwani hujui mhusika mkuu?
 
Mimi siijui hiyo siri. Wewe na Lowasa mnieleze ili niifahamu.

Refer Escrow, kwani hujui aliyenyuma yke? Richmond ni ya mkubwa... (Naepuka kutumia maneno ya uchochezi au kuudhi kwa yule jamaa.."
 
Kuna jukwaa la lowassa linaitwa KAMBI RASMI YA LOWASSA 2015, huko FACEBOOK.
 
E bwana kweli mods muone umuhimubwa kutuondolea hii kero!.
 
Mtaongea mengi safari hii! Muhimu mjue kuwa EL hana nafasi katika kuwania uraisi. Hata waliowahi kuwa maboss wake kama Mzee Sigwemisi mmemsikia alivyoshindwa kumung'unya maneno juu ya uchafu wa EL.
 
Team Lowasa poleni sana, jamaa hawezi kuteuliwa kwa udi na uvumba. Shida ni kuwa hawezi kujisafisha bila kumtaja mkuu, sasa huyó Bwana mkubwa hajipendi? Ama mmesahau kule Dom alipoanza kujisafisha? Hapo mkuu haponi. Kama mtachukia nawashauri mapema kabisa, Chana kadi ya ccm hamia ukawa.
 
.

Hivyo, naomba sana Lowassa atafakari kwa kina ushauri huu, aende mahakamani ikibidi kwa hati ya dharura aiombe mahakama kuu itamke kuwa "Lowassa ni mtu safi na mwadilifu"

.

Na mahakama ikimkatalia? Ili mahakama ifikie uamuzi kama huo itabidi aileze kuwa anatuhumiwa kuwa si msafi kwa lipi na kwanini.
 
Lowassa,Lowassa hadi kero
Kila kukichaLowassa, Lowassa, oooo mtu mawazo yake binafsi tu anakujana kusema ametumwa na wanainchi katikaeneo lake mfano mkoa au kanda amshauri lowassa agombee Urais.
Lowassa jamani hafai, mtu anayejitajirishakwa kutumia wadhifa wake katika utumishi wa umma hafai kuwa kiongozi kwa sababusiyo mfano wa kuigwa, yaani kuiba mali za umma siyo sifa ambayo inafaa mtumwingine aige.
Lowassa kuwa kiongozi wa ofisi ya juukutavutia wezi wenzie kuinajisi ofisi hiyo, yaani kama ukifuga fisi tegemeafisi wenzie kumtembelea fisi mwenzao hawezi kutembelewa na swala.
Jamani Lowassahafaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Kikwete, Mangula hebu mwambieni huyo mtu kwamba hanasifa za kiti cha urais, anaweza mambo mengine na siyo urais, ni nyie mnamlealeamnamchelewesha mpeni sure za moja kwa moja na wala siyo mafumbo mafumbo
CC.

  1. Jajaya Mrisho Kikwete
  2. Jack Zoka
  3. Philip Mangula
  4. Abdrahiman Kinana
  5. Benjamin Mkapa- Uliwakemea maaskofuukasema na majoho yao haiwezekani serikali tatu kwa sababu baba wa taifaalikataza mbona Lowassa humkemei? Mnafiki wee.
  6. Ali Hassan Mwinyi
  7. Nape Nnawiye
  8. Delvis Adolf Mwamunyange
  9. Ernest Hamis Mangu
  10. JohnKomba-na unafiki wako, kama Lulu Michael kakukomba mali zote usitegemee uibukiekatika kumpigia dabe fisadi Lowassa, kufa na lywako
  11. RostamAzizi –ikulu siyo pango la walanguzi unatumia mapesa yako ya wizi ili umwekeLowasaa ikulu ili uwe ndio uchochoro wako.
 
Lowassa ana kazi kubwa sana ya kuelezea issues za namna ya kuwakomboa Watz. Kichwa cha Lowassa kimejaa upendo na msamaha kwa walio mkosea. Lowassa ndio kimbilio la Watz
 
Lowassa angesafishika wakati ule endapo angemtaja mwenye richmond.

Kwakuwa alikubali kuwa mbuzi wa kafara, mwache aendelee kuitwa fisadi.
 
Back
Top Bottom