Akisaidiwa na sewando kwa pembeni na marehemu mzee bota bila kumsahau bro msawanga
Tutalisifu jina la Bwana milele .Maua Seminary jamani tupo pia.
Enzi za brother Muchunguzi,Fr Kinyaia siku hizi askofu, Fr Mbundo,Fr Placidius and Sister....
Ingekuwa kiarabu hicho mngesema ugaidi
Tantum ergo sacramentum
Veneremur chernui
Et anticum documentum
sakramenti kubwa hiyo,twaheshimu kifudi
Hahaaaaa. Umenikumbusha mbali sana .....MAUA SEMINARY miaka ile John Mnyika anasoma pale. Alimaliza akatuacha sisi bado form one. Nakumbuka hawa jamaa walishangilia sana mtihani wa form four 1998 ulipofutwa. Nakumbuka vinyangarika na matunda ya marehemu fr. Ladislaus (fr. Mbundu). Vp we ilikuwa mwaka upi?
Likonde seminary mpoooo?
Katafute Maana ya seminary ndo utajua kwanini hajataja!
MKUU kama vile nnakukumbuka.Mimi nilikuwa house ya Ujamaa.daa those days!!! Pionjar,brother kisiki...Fr Kinyaia(askofu now) morata(amefariki mwaka Jana)topolinoTutalisifu jina la Bwana milele .Maua Seminary jamani tupo pia.
Enzi za brother Muchunguzi,Fr Kinyaia siku hizi askofu, Fr Mbundo,Fr Placidius and Sister....