Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,238
Kimsingi wasanii wa bongo wengi ni vilaza hilo halina shaka kabisa
Wengine ukiwauliza hata hii #EndSARS wanayotweet chanzo ni nini watakuwa hawajui
On the other side
✓Hatuwezi kuwalaumu sana wasanii kwa sababu hakuna raia waliowahi kuanzisha movement yoyote ili tuseme kuwa celebs hawaku join hiyo move
✓Ila pia hawa celebs inabidi wakae pembeni na siasa..awamu hii tumeona wakijikomba komba sana na wanasiasa lakini ni wa upande mmoja na huo upande umeleta majanga kibao bongo hapa..So it's better wangekuwa neutral,japo hii nchi ni ya demokrasia
Wengine ukiwauliza hata hii #EndSARS wanayotweet chanzo ni nini watakuwa hawajui
On the other side
✓Hatuwezi kuwalaumu sana wasanii kwa sababu hakuna raia waliowahi kuanzisha movement yoyote ili tuseme kuwa celebs hawaku join hiyo move
✓Ila pia hawa celebs inabidi wakae pembeni na siasa..awamu hii tumeona wakijikomba komba sana na wanasiasa lakini ni wa upande mmoja na huo upande umeleta majanga kibao bongo hapa..So it's better wangekuwa neutral,japo hii nchi ni ya demokrasia