Wasanii wa Bongo wenye verified accounts kwenye mtandao wa Instagram wameongezeka

samsun

JF-Expert Member
Feb 9, 2014
7,386
5,954
Habari zenu wakuu.

Wasanii wa Bongo wenye account za Instagram ambazo ziko verified wameongezeka kutoka watano (5) hadi wanane (8).

Wasanii hao na followers wao kwenye mabano ni;
  • DIAMOND PLATNUMZ (2.4m)
  • Vanessa Mdee (1.6m)
  • Ommy Dimpoz (1.3m)
  • Idrissa (1.2m)
  • Alikiba (1.2m)
  • Lady Jaydee (870k)
  • Flaviana Matata (524k) na
  • Barakah da Prince (344 k).
(Kumbuka: M=Milioni na K=Laki)
 
Nimekuja fasta nikidhani yule jamaa aliyekuwa akihamisha milion 8 kila dakika accaunt zake wamesha ziblock kumbe siyo!!
 
Nimekuja fasta nikidhani yule jamaa aliyekuwa akihamisha milion 8 kila dakika accaunt zake wamesha ziblock kumbe siyo!!
Hujakosea mkuu sasa hivi ukijaribu kuingia account zake unaambiwa huyu jamaa is not hewani.
 
Kigezo ni nini haswa? coz najua kuna wengi tu wana followers M na zaidi, ie Zari, Wema, Aunty n.k n.k....wakati huyo Baraka ana 300k tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…