Was Commander Barlow assassinated?

Was Commander Barlow assassinated?

hivi video ya dr ulimboka, Ikulu na Kova imeishia part gani..

Tumepata habari DR.Ulimboka amepewa mshiko mambo yaishe, vielelezo viliwabana wakuu. Tusubiri hili la Mwangosi litaishia vipi nalo video iko wazi zaidi.
Hili la Kamanda Barlow watahakikisha wanafunika ukweli na uozo ulioko katika uongozi wa nchi hivi sasa.
 
Mnakumbuka Jenerali Kombe alivyouwa? hawa polisi ni vigumu kuwaelewa wapo kwa ajili ya kulinda maslahi ya watu fulani.
 
ana kijana wake anaitwa Zacharia, mmiliki wa mabasi ya zacharia trans, jambazi mkuu wa mgodi wa north mara na tarime yote. Hawa jamaa ukiwa kanda ya ziwa usiwaguse. Ndie huyu gachuma na wenzie wamemjengea hekalu mkuu wa kaya capripoint kama zawadi mambo yao yaendelee. Hapa nawataja kina la kairo, kitano etc. Yan kuna tycoon wa kikurya wamezaliwa mwanza na wapo kuchuma hela, kwa namna yoy6te ile iwe halali au haramu

Hao ndio waajiriwa wa kuiletea ushindi CCMabwepande 2015!!M4C take care!! wataua, watatisha watahujumu kwa njia zote! watashirikiana na TISS na polisi tujiandae kwa mpambano wa nguvu!!!
 
nafanyia kazi taarifa zenu, nawaahidi after five years nitakuwa rpc and the first thing i will do ni kuua hao tycoon mark my word. Sipo tayali kabisa kuona majambazi wanafanya wanachotaka.......naomba ushirikiano wenu....endeleeni kunipa taarifa hiizi kwangu mimi, hizo ndo taarifa za kiitelijensia

labda na wewe uache kutembea na wake za watu silivyo utaishia alipo ishia mwenzako
 
shuhuda amesema dada alimpigia simu kumweleza 'anakuja na MGENI anayetaka kupafahamu anapokaa'. Hii inafuta kabisa hadithi ya 'marehemu alikuwa anamrejesha dada yake nyumbani'
Nadhani kuna kundi fulani hapa TZ linadhani waTZ bado ni walewale wa 90s. Kuna mshangao mkubwa unakuja

“A lie can travel half way around the world while the truth is putting on its shoes.”-Mark Twain
 
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga,mficha maradhi mauti umu umbua,kijana wetu kanumba alificha atembei na LULU hatimaye tumegundua yeye kafariki

Ni kweli siku zote huwezi ficha kivuli chako, ki pamoja na wewe popote uendapo.
 
waandishi uchwara. Huwezi ku assassinated polisi au raia. Assassination is killing of political figure for political motive. Kwa vile mwandishi hajui tofauti basi habari yake ina walakini
 
he was targeted, hunted, murdered, killed, revenged, retaliation, betrayal, assasinated, kicked the bucket...etc etc, whatever u can call it he is damn gone.!
 
he was targeted, hunted, murdered, killed, revenged, retaliation, betrayal, assasinated, kicked the bucket...etc etc, whatever u can call it he is damn gone.!
yes !!he is gone....!! the issue is to find who the heck is behind it...today is barlow....tomorrow is ....
 
Mzinifu huyu mzee ndo maana kafa kifo cha aibu
 
Niliwahi kusafiri Mwanza miaka ya nyuma late 1990's,na niligunduwa hilo,criminals walikuwa wakimwabudu kama God Father wao,sasa nimeshangazwa sana kusikia eti ni mtopu wa ccm.Kama kuna mtu anaweza kuwasaidia kumjuwa aliyemwua huyo kamanda,basi ni huyo Gachuma,huyo anaheshimika huko kuliko hata rais wa nchi.Tena especially na criminals.

Mwenyekiti wa sasa wa CCM wa Mwanza nafikiri bado ni Mabina, mtu wa kazi wa siku nyingi tu. Na kila mtu anayejuà kinachoendelea anajua hilo.

Marehemu alikuwa anaingilia kazi za wakubwa inaelekea.

R.I.P kamanda. CCM is literary Chama Cha Majambazi.
 
Huko kwetu kuna jamaa ni diwani wa kata fulani na ana pesa kama serikali. ni mtu hatari. jambazi, muhujumu ... mbali na kuwa na shule ndogo diwani huyo kwenyw Almashauri ya Wilaya Muleba kupitia CCM ameongeza umasini kwa watanzania kwa kuwaibia mifugo na kuichanganya kwake. Pia humiliki biashara ya samaki na dagaa. Wavuvi wamezamishwa sana. Kwakifupi kamanda kauliwa kwa issue za kisiasa na CCM wanajua
I align with you. inline with you.
 
Ukweli upi tuambie basi, maana tunasikia mengi, mara Tai 5 mara Florida, sasa kipi ni kipi?
Kuna mambo mengi ambayo hayako wazi hadi muda huu
1.Je kikao cha harusi kiliisha saa ngapi?na marehemu na Dorcas walikuwa wapi baada ya kikao kuisha?nijuavyo vikao vingi uwa vinaisha mapema sana.
2.Je marehemu alikutana na Dorcas kwenye kikao cha harusi coincidentally au walikuwa wamepanga kukutana huko?
3.Je Dorcas alikwenda na usafiri gani kwenye hicho kikao?na kama asingemuona marehemu alikuwa amepanga kurudi kwa usafiri gani?
4.Nani alisikia mabishano kati ya marehemu na hao wauaji,taarifa zinazotolewa na polisi zina utata,kwani kama Dorcas aliisha ingia ndani aliyasikia vipi maongezi kati ya wauaji na marehemu,na ni kwanini hakuondoka mara baada ya kumdrop?alisubiri nini nje?
5.Kama Dorcas alipiga simu kuwa kuna mgeni nakuja kupaona anapoishi ina maana uhusiano/undugu wao ulianza siku ile ya kikao,hawakuwa wanajuana before?au hawakuwahi kutembeleana before?.
6.Dorcas alimpigia simu bodyguard wa marehemu,hiyo namba aliipata wapi?na je walikuwa wamemuacha wapi huyo bodyguard na ni kwanini hakuenda naye Kitangiri?
Hayo ni baadhi ya maswali ambayo watu wengi tunajiuliza.Barlow alikuwa mfano mzuri katika utendaji,commited and hard worker ,May he rest in eternal peace.Amen
 
Mr Barlow was shot dead early yesterday by a gang, which did not take anything from him.“The circumstances of the killing show that he was eliminated…it was an assassination, which probably had something to do with his relentless and highly effective fight against organised crime in the region and no-nonsense stance on discipline in the Police Force in the region,” said a source who did not want to be named for fear of reprisals.

source ;the citizen
No nonsense stance on discipline? May be the word discipline got a new meaning.

- He is said to have been drinking relentlessly at this party, and yet chose to drive his car to take this woman home (the don't drink and drive rule is not for the Police?). He is reported to have made poor judgement in dealing with the community police - or was he drunk? And why leave his bodyguard behind in the first place?
- He was quite dismissive when the police almost killed an innocent Migration official
- He is said to have been toying with this woman, claimed to be someone's wife.
 
Hii tabia ya wakubwa kulamba wake za watu, madem wa watu, dada, shangazi na mama zetu kwa kutumia title zao itawamaliza. Toka tukiwa wadogo tunasikia wakubwa wakija mikoani wanaandaliwa chakula ya kupumzikia... sasa nao wajichunge maana U-mswati wao utawaponza sana. Ole kwao>>>> R.I.P Barlow
 
Mimi naona kama tunapotoshwa na hadithi za Katulanda. Tanzania tuna uhaba kama siyo ukosefu wa Waandishi Wachunguzi ndiyo maana hata Taarifa ya Uchunguzi wa mauaji ya Mwangosi iliyotolewa na Waandishi wa Habari imeandikwa kama hadithi ambayo mwisho wake unatatanisha. Kwa tukio la Mwanza, Nasema No assassination, Mr Barlow was killed! Tutakapoingiza maneno ya assassination tutakuwa tumepotezwa. Lakini kwa kuwa uchunguzi unafanywa ebu tuone tutaelezwa nini!
 
Mimi naona kama tunapotoshwa na hadithi za Katulanda. Tanzania tuna uhaba kama siyo ukosefu wa Waandishi Wachunguzi ndiyo maana hata Taarifa ya Uchunguzi wa mauaji ya Mwangosi iliyotolewa na Waandishi wa Habari imeandikwa kama hadithi ambayo mwisho wake unatatanisha. Kwa tukio la Mwanza, Nasema No assassination, Mr Barlow was killed! Tutakapoingiza maneno ya assassination tutakuwa tumepotezwa. Lakini kwa kuwa uchunguzi unafanywa ebu tuone tutaelezwa nini!

Assassination is the murder of a prominent person or political figure by a surprise attack, usually for payment or political reasons.[SUP][1][/SUP][SUP][2][/SUP]
An assassination may be prompted by religious, ideological, political, or military motives; it may be carried out for the prospect of financial gain, to avenge a grievance, from the desire to acquire fame or notoriety (that is, a psychological need to garner personal public recognition), from the wish to form some kind of "relationship" with a public figure, or from the desire (or at least the willingness) to be killed or commit suicide[SUP][citation needed][/SUP] in the act.
mkuu hebu funguka zaidi baada ya kusoma hayo maelezo ya maana ya assassination
 
Back
Top Bottom