Hakika nchi hii viongozi wa kushangaza sana. Mwenyekiti wa tume ya Katiba na baadhi ya wajumbe wake Mzee Butiku na Bw.Polepole wakati bunge la katiba lilipoiponda rasimu yao walihaha nchi nzima kuhamasisha Wananchi wasiipigiekura katiba Pendekezi ya Mzee Sitta na kuandaa midahalo Nchi nzima kupinga.
Midahalo iliyopelekea Mzee warioba kutukana matusi ya nguoni na wajumbe na wabunge wa CCM wenzake na mwisho kutandikwa makofi na Kijana mtovu wa adabu makonda na kisha kupongezwa na kupewa ukuu wa wilaya.
Cha kushangaza Mzee Warioba na hao wajumbe leo Wameigeuka Rasimu yao wanaisifia katiba pendekezi ya Mzee Sitta.Tunajiuliza wameamua kula MATAPISHI au kuwasiliti ,wananchi au ndio njaa kali.
Midahalo iliyopelekea Mzee warioba kutukana matusi ya nguoni na wajumbe na wabunge wa CCM wenzake na mwisho kutandikwa makofi na Kijana mtovu wa adabu makonda na kisha kupongezwa na kupewa ukuu wa wilaya.
Cha kushangaza Mzee Warioba na hao wajumbe leo Wameigeuka Rasimu yao wanaisifia katiba pendekezi ya Mzee Sitta.Tunajiuliza wameamua kula MATAPISHI au kuwasiliti ,wananchi au ndio njaa kali.