kafara ilianzia kwa
dr. Sengodo mvungi, nguli wa mambo ya sheria...kikwete hata kumtaja marehemu hakuthubutu; ukishaonja damu ya binadamu katu huachi!
waziwazi, kikwete akishammaliza na
jaji sinde warioba, mjumbe mwingine wa tume atakayefuatia ni nani?
dr. Salim ahmed salim? jaji agustino ramadhani? mzee butiku? Profesa mwesigwa baregu au
profesa palamagamba kabudi? kumbuka kabla ya kikwete kuokotwa na raisi mwinyi huko mitaa ya lindi, wengi wa hawa tayari walikuwa magwiji kwenye mambo ya siasa na uongozi. Kila mwenye akili anajua
dr. Sengodo mvungi hangenyamazia hivi vitisho kupitia mipasho isiyo na hadhi hata ya kuingizwa kwenye
hansard ya
bunge maalum la katiba hivyo ilibidi anyamazishwe
milele. Who's next?