Huyu Bwana katoa post nzuri sana tena yenye hoja zenye mashiko, Wewe kwa sababu ya upofu wako na uwezo wako mdogo wa kuchambua hoja critically ndiyo maana umeishia kubeza tu. Hujahenga hoja yoyote kuonesha kuwa amepwaya wapi badala yake unamuongelea Mzee Malecela kaba kwamba kuna ubishi juu ya wazee hawa waili Waryoba na Malecela. Kama Elimu zebu ni ndogo kwa sababu ya kuogopa umande na kuoenda viporo vya wali nyumbani enzi ya utotoni, badi waacheni waliobobea ktk hoja.