Elevenn
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 9,775
- 19,447
Hakika leo ndo kipomo halisi cha kuonesha ya kuwa sisi si watu wa kawaida....
Leo afe kipa afe beki lazima goli zifungwe tu, tuwadunge midomo hawa wadharau miba. Haitakuwa kazi nyepesi ila moto atauona, Anafikiri ukubwa wa mwili ndo una reflect mijegeje?
Leo muhispania kazi anayo
Heshima lazima iwepo na hawa kizazi kipya wanaodhani talent beats discipline leo ndo watajua hawajui,
We didn't come this far to end here.
The only GOAT 🐐 is CR7
Leo afe kipa afe beki lazima goli zifungwe tu, tuwadunge midomo hawa wadharau miba. Haitakuwa kazi nyepesi ila moto atauona, Anafikiri ukubwa wa mwili ndo una reflect mijegeje?
Leo muhispania kazi anayo
Heshima lazima iwepo na hawa kizazi kipya wanaodhani talent beats discipline leo ndo watajua hawajui,
We didn't come this far to end here.
The only GOAT 🐐 is CR7