Waraka wa wazi Kwa Dr. Bashiru

Waraka wa wazi Kwa Dr. Bashiru

Poa 2

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2019
Posts
1,326
Reaction score
1,347
Dr. Habari za siku

Kwanza pole na maumivu unayoyapitia Kwa Sasa, pia hongera Kwa ujasiri hewa uliotuonyesha watanzania kupitia wakulima uliozungumza NAO.

Binafsi maneno Yako ni ya haki, kweli na ndivyo tunavyopaswa kusimama kama taifa.

LAKINI Dr. Ni kweli umesahau nguvu ya mwenyekiti wa CCM?

Umesahau nguvu ya Rais wa JMT kikatiba hasa Kwa katiba hii ya chama kimoja?

Hivi umesahau jinsi ulivyokuwa unamsifia MAGUFULI hata KWENYE mambo ya kipuuzi?

Umesahau kwamba wewe ndio mwasisi mwa mapambio ya sifa, kujipendekeza na kujikomba Kwa Raisi kuliko kawaida?

Nikukumbushe TU huna nguvu KUMZIDI mwenyekiti wako wa chama na uache mara Moja kupingana naye waziwazi utapotea KWENYE ramani ya siasa hapa nchini akiamua.

Anayeweza kupingana na mwenyekiti wako wa chama chenu ni yule mwenye sapoti kutoka Kwa kale kakikundi Cha chama apako kana nguvu kuliko mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.

Kama kweli una Nia ya dhati na haujupitiwa hebu Toka tena hadharani na upinge pinge.

Au wewe ndiye yule tumtarajiae?
 
Dr. Habari za siku

Kwanza pole na maumivu unayoyapitia Kwa Sasa, pia hongera Kwa ujasiri hewa uliotuonyesha watanzania kupitia wakulima uliozungumza NAO.

Binafsi maneno Yako ni ya haki, kweli na ndivyo tunavyopaswa kusimama kama taifa.

LAKINI Dr. Ni kweli umesahau nguvu ya mwenyekiti wa ccm?

Umesahau nguvu ya Raisi wa JMT kikatiba hasa Kwa katiba hii ya chama kimoja?

Hivi umesahau jinsi ulivyokuwa unamsifia MAGUFULI hata KWENYE mambo ya kipuuzi?

Umesahau kwamba wewe ndio mwasisi mwa mapambio ya sifa, kujipendekeza na kujikomba Kwa Raisi kuliko kawaida?

Nikukumbushe TU huna nguvu KUMZIDI mwenyekiti wako wa chama na uache mara Moja kupingana naye waziwazi utapotea KWENYE ramani ya siasa hapa nchini akiamua.

Anayeweza kupingana na mwenyekiti wako wa chama chenu ni yule mwenye sapoti kutoka Kwa kale kakikundi Cha chama apako kana nguvu kuliko mwenyekiti wa ccm na Raisi wa JMT.

Kama kweli una Nia ya dhati na haujupitiwa hebu Toka tena hadharani na upinge pinge.

Au wewe ndiye yule tumtarajiae?
Tapeli Dk Bashiru akisaidiana na Humphrey Polepole ndiyo walioasisi siasa ya maji taka ya 'kuunga juhudi ya Serikali ya Magufuli'. Wakawa wananunua wapinzani kama njugu. Achana na hao washenzi. Bashiru hana ligimate yoyote ya kusimama mbele ya watu kifua mbele. Hana, hata johnthebaptist ni Shahidi
 
Dr. Habari za siku

Kwanza pole na maumivu unayoyapitia Kwa Sasa, pia hongera Kwa ujasiri hewa uliotuonyesha watanzania kupitia wakulima uliozungumza NAO.

Binafsi maneno Yako ni ya haki, kweli na ndivyo tunavyopaswa kusimama kama taifa.

LAKINI Dr. Ni kweli umesahau nguvu ya mwenyekiti wa ccm?

Umesahau nguvu ya Raisi wa JMT kikatiba hasa Kwa katiba hii ya chama kimoja?

Hivi umesahau jinsi ulivyokuwa unamsifia MAGUFULI hata KWENYE mambo ya kipuuzi?

Umesahau kwamba wewe ndio mwasisi mwa mapambio ya sifa, kujipendekeza na kujikomba Kwa Raisi kuliko kawaida?

Nikukumbushe TU huna nguvu KUMZIDI mwenyekiti wako wa chama na uache mara Moja kupingana naye waziwazi utapotea KWENYE ramani ya siasa hapa nchini akiamua.

Anayeweza kupingana na mwenyekiti wako wa chama chenu ni yule mwenye sapoti kutoka Kwa kale kakikundi Cha chama apako kana nguvu kuliko mwenyekiti wa ccm na Raisi wa JMT.

Kama kweli una Nia ya dhati na haujupitiwa hebu Toka tena hadharani na upinge pinge.

Au wewe ndiye yule tumtarajiae?
Jikite Kwenye hoja yake,ukimjadili matendo yake ya nyuma maana yake unaififisha hoja yake hii ambayo imekubalika na kila mtanzania.
Hakuna mkamilifu hata wewe una mapungufu kibao tu,muhimu ujumbe au wazo lako bora
 
Dr. Habari za siku

Kwanza pole na maumivu unayoyapitia Kwa Sasa, pia hongera Kwa ujasiri hewa uliotuonyesha watanzania kupitia wakulima uliozungumza NAO.

Binafsi maneno Yako ni ya haki, kweli na ndivyo tunavyopaswa kusimama kama taifa.

LAKINI Dr. Ni kweli umesahau nguvu ya mwenyekiti wa ccm?

Umesahau nguvu ya Raisi wa JMT kikatiba hasa Kwa katiba hii ya chama kimoja?

Hivi umesahau jinsi ulivyokuwa unamsifia MAGUFULI hata KWENYE mambo ya kipuuzi?

Umesahau kwamba wewe ndio mwasisi mwa mapambio ya sifa, kujipendekeza na kujikomba Kwa Raisi kuliko kawaida?

Nikukumbushe TU huna nguvu KUMZIDI mwenyekiti wako wa chama na uache mara Moja kupingana naye waziwazi utapotea KWENYE ramani ya siasa hapa nchini akiamua.

Anayeweza kupingana na mwenyekiti wako wa chama chenu ni yule mwenye sapoti kutoka Kwa kale kakikundi Cha chama apako kana nguvu kuliko mwenyekiti wa ccm na Raisi wa JMT.

Kama kweli una Nia ya dhati na haujupitiwa hebu Toka tena hadharani na upinge pinge.

Au wewe ndiye yule tumtarajiae?
Unajua kwa uzi huu umemchamba sana?Atakonda bure "dokita" wa watu.
 
Back
Top Bottom