Wengine sisi ni wapagani. Na kama inavyoonyesha kuwa interest groups mbalimbali zinajaribu kwa namna moja au nyingine kuandika jinsi ya kuongoza watu kwenye uchaguzi wa 2010.
Ningeomba wale ambao hawana uwakilishi wa kidini au kwa wale wenye kutaka kutimiza wajibu wa kiraia bila kutumia makundi ya kidini tuandae draft na baadaye tutoe waraka wetu.
Wenu Za10 MwanaMavungi.
Hahahahahahaha,
Za10,
Wapagani bongo wanazidi 10% (all the animist and traditional religion upholders, tree worshipers etc)
You almost got me started. Ila tatizo you are close but personally am not a pagan, more of an atheist, the two are not the same.
Lakini kwa kuwa umealika wasio na uwakilishi wa kidini, nitaitikia wito wako vilivyo.
Ila tusilaumiane tu.
Wengine sisi ni wapagani. Na kama inavyoonyesha kuwa interest groups mbalimbali zinajaribu kwa namna moja au nyingine kuandika jinsi ya kuongoza watu kwenye uchaguzi wa 2010.
Ningeomba wale ambao hawana uwakilishi wa kidini au kwa wale wenye kutaka kutimiza wajibu wa kiraia bila kutumia makundi ya kidini tuandae draft na baadaye tutoe waraka wetu.
Wenu Za10 MwanaMavungi.
Hahahahahahaha,
Za10,
Wapagani bongo wanazidi 10% (all the animist and traditional religion upholders, tree worshipers etc)
You almost got me started. Ila tatizo you are close but personally am not a pagan, more of an atheist, the two are not the same.
Lakini kwa kuwa umealika wasio na uwakilishi wa kidini, nitaitikia wito wako vilivyo.
Ila tusilaumiane tu.
Hahahahahahaha,
Za10,
Wapagani bongo wanazidi 10% (all the animist and traditional religion upholders, tree worshipers etc)
You almost got me started. Ila tatizo you are close but personally am not a pagan, more of an atheist, the two are not the same.
Lakini kwa kuwa umealika wasio na uwakilishi wa kidini, nitaitikia wito wako vilivyo.
Ila tusilaumiane tu.
LOL!
Tatizo sio upagani au la, tatizo ni kuwa nchi kama ya Tanzania unashindwa kuelewa hata kama hizo dini zingine zipo, Churches and mosques are more like social clubs!
Ndio maana ukifanya utafiti wa hizo nyaraka zo utajikuta wanaojiita wakristo na waislamu hawajasoma na wala HWANA MPANGO WA KUSOMA, BONGO TAMBARARE, KANISA NA MISIKITINI WATU WANAENDA KWA KUOGOPA WAZAZI AU JAMII INAYOWAZUNGUKA!
Huo waraka wa wakatoliki ni wa wakatoliki na sio wa wawakristo wooote, hawajaanza KKKT, walokole, wasabato, huko kw waislamu hawajaanza huyu wa shia huyu wa shai!!!!!
sasa wapagani hawana kitabu wataongea nini wao naona wabakie kimya kwani wakristo wanacho kitabu biblia na waislam nao wana Quran sasa wapangani wana nini
Sasa mbona mpagani mkubwa Kingunge yupo mstari wa mbele kupinga "waraka?".
Mnahitaji muwekwe chumba kimoja msemezane....
Wengine sisi ni wapagani. Na kama inavyoonyesha kuwa interest groups mbalimbali zinajaribu kwa namna moja au nyingine kuandika jinsi ya kuongoza watu kwenye uchaguzi wa 2010.
Ningeomba wale ambao hawana uwakilishi wa kidini au kwa wale wenye kutaka kutimiza wajibu wa kiraia bila kutumia makundi ya kidini tuandae draft na baadaye tutoe waraka wetu.
Wenu Za10 MwanaMavungi.