ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
- Thread starter
-
- #21
ladyfurahia mwenzio tayari nisha anzisha kanisa la wateule watupu waliotakaswa na damu ya kidude moto
labda uwingi wa watu mndo mana sikukuona oky kama ulikuwepo ulisikia lile neno alilotoa mwinjilisti naomba ulifanyie kazi na uniambie umefikia wapi
Ahsante kwa kutujali kwa kiwango hicho na kutupatia neno ambalo ni chakula cha uzima wa roho, hakika ubarikiwe sana mpendwa katika jina la bwana ndg yangu ladyfurahia.
Hi!"! Maaambo!
Be blessed mamiii
Tumsifu Yesu Kristo...
lini na wapi hapoo...?yaani kunenepesha sauti ni pozi..!!!milele amina baba paroko kumbe uko, mbona siku ile ulininenepesha sauti au mapozi yako nini?
lini na wapi hapoo...?yaani kunenepesha sauti ni pozi..!!!
na pakumbuka sana...ila sina mapozi...na siwezi kuwa na mapozi...ingawa watu wanaweza sema nina pozi..laiti ungejua mapozi ya wengine ni kukuangalia kimtindo, na wengine kwa sauti tu utajua kuwa huyu ana mapozi, ni pale Leo tena pub umepakumbuka au ndo mizengwe hiyo?
na pakumbuka sana...ila sina mapozi...na siwezi kuwa na mapozi...ingawa watu wanaweza sema nina pozi..
mh...hahahahaahaha..so ushajua tulivyo?. Mentor unaitwa hapa...Nioneshe rafiki yako nitajua ulivyo... rafiki yangu ni Mentor pima hapo sasa Kipaji Halisi
sawa kiongoziMke wangu niachie mie..ni mzigo wangu nimechagua kuubeba! tafuta wa kwako mangi.