kalenge2000
Member
- Mar 7, 2014
- 45
- 7
Jamani wana jf naomba kujua kama kuna mtu ameshauona waraka mpya wa mishahara hasa upande wa walimu.
Naomba kujua content zake.
Naomba kujua content zake.
walimu TGTS A-20%, TGTS B-17%, TGTS C-15%, TGTS D-13%, TGTS E-11%, TGTS F-9%, TGTS G-6%, TGTS H-4%, TGTS I-3%.
walimu TGTS A-20%, TGTS B-17%, TGTS C-15%, TGTS D-13%, TGTS E-11%, TGTS F-9%, TGTS G-6%, TGTS H-4%, TGTS I-3%.[Afadhali wametusikia
walimu TGTS A-20%, TGTS B-17%, TGTS C-15%, TGTS D-13%, TGTS E-11%, TGTS F-9%, TGTS G-6%, TGTS H-4%, TGTS I-3%.
Umechanganya mada.....!Fastjet npo mwanza tangu SAA tatu tulikuwa tunatakiwa kuondoka but mpaka sasa bado hatujaondoka wanasema kuna tatizo la kiufundi jamani hii ndege Jamaa hafanyi service.