maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Ndugu wanachadema wenzangu tuna kazi mbili muhimu baada ya uchaguzi; kwanza kukirudisha chama kwa wananchi kutoka kwa mafisadi,pili kuhuisha misingi ya maadili ya uongozi
Kachukue buku saba zako fasta