Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,941
- 12,503
Wameficha sana menu ya kuongea nao mojakwamoja nahisi wanajua wana madhambi wanaogopa. Kwa wageni ndio kabisa utaishia kukisikiliza kile kisichana chao mpka uchoke. Kwanza kina sauti mbaya sana 😂.Alafu ukipiga sahvi kwa masuala ya vocha na vifurushi hupati namna ya kuongea na mtoa huduma wao.
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
Eti nabakia Africa.
Ukitaka uwapate vzuri wewe ingilia kwenye menu ya mpesa. Unapiga namba 100 kisha wanaanza mahubiri yao ukishaanza kusikia "kwa tatizo la mpesa bonyezq 1" bonyeza moja kisha kakianza maelezo unabonyeza 5 kisha akianza tena kuongea unabonyeza 0. Mojakwamoja unampata muhudumu. Sema siku hizi wananyodo sna. Ukiwaambia ukweli wanajifanya kukukoromea, mimi naenda nao kigumu na walishanijua siwapi nafasi waongee. Mfano wana tbia ya kutoa ofa za internet ila ukijiunga net haifanyi kazi (nimeshafafanua kwenye comments mbalimbali) ukipiga wanakwambia wanaripoti kitengo husika. We! Huwa nawawakia na ninawauliza kama wanajua hawawezi kumuhudumia mteja mojakwamoja kwnn wasimuunganishe mteja mojakwamoja na kitengo husika? Nikikata simu tu wanakuwa wameshafungua data zangu na naendelea kuinjoi. Jamaa ni wjinga kiwango cha stiglers
.