Wapo watanganyika wanaopinga Zanzibar kujiunga na fifa

aleesha

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
798
1,178
Kuandika fitna za kuihusisha zanzibar na ugaidi
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    53 KB · Views: 40
  • image.jpeg
    image.jpeg
    44.5 KB · Views: 23
  • image.jpeg
    image.jpeg
    52.3 KB · Views: 23
  • image.jpeg
    image.jpeg
    45.4 KB · Views: 25
  • Jamal Malinzi ni hasara tupu, yani anaisaidia Zanzibar kuvunja katiba ya Jamuhuri ya Muungano
  • Hivi huyo bwana ni mbara (Mtanganyika) kweli au pandikizi la Wazenji?
 
  • Jamal Malinzi ni hasara tupu, yani anaisaidia Zanzibar kuvunja katiba ya Jamuhuri ya Muungano
  • Hivi huyo bwana ni mbara (Mtanganyika) kweli au pandikizi la Wazenji?
Hem nifafanulie katiba imevunjwa vipi hapo, au na ww ndo wale wale?
 
Hem nifafanulie katiba imevunjwa vipi hapo, au na ww ndo wale wale?
  • Zanzibar sio nchi
  • Nchi ni Tanzania, na Taifa Stars ndio timu yetu ya taifa na ilikuwa ikujumuisha Wazanzibari
  • Hivi Raisi Magufuli msimamizi wa Jamuhuri ya Muungano hayaoni haya?
  • Si asome hata vitabu basi aone mwenzie Nyerere alifanya nini pale Zanzibar ilipovunja katiba ya Jamuhuri ya Muungano kwa kujiunga na OIC
 
  • Kitendo cha Zanzibar kujiunga CAF na sasa kutafuta uanachama wa FIFA ni uvunjifufu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano
  • Raisi Magufuli, Waziri wa Katiba na Sheria, Mwanasheria Mkuu wa Serikari na Waziri mpya wa Michezo kweli hamyaoni haya?
 
Zanzibar ikikubaliwa FIFA italazimu TFF kubadili jina maana haiwezi tena kuendelea kuitwa Tanzania Football Federation......
 
  • Kitendo cha Zanzibar kujiunga CAF na sasa kutafuta uanachama wa FIFA ni uvunjifufu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano
  • Raisi Magufuli, Waziri wa Katiba na Sheria, Mwanasheria Mkuu wa Serikari na Waziri mpya wa Michezo kweli hamyaoni haya?
Mtumbueni bas malinzi, maana alianza na CAF, anakuja FIFA na tunamaliza na muungano
 
  • Zanzibar sio nchi
  • Nchi ni Tanzania, na Taifa Stars ndio timu yetu ya taifa na ilikuwa ikujumuisha Wazanzibari
  • Hivi Raisi Magufuli msimamizi wa Jamuhuri ya Muungano hayaoni haya?
  • Si asome hata vitabu basi aone mwenzie Nyerere alifanya nini pale Zanzibar ilipovunja katiba ya Jamuhuri ya Muungano kwa kujiunga na OIC
Ndo huoni tunaelekea ukingoni uko, kama kweli mna uchungu mtumbueni malinzi maana Alianza kubariki suala la CAF sasa tunaendelea 2. Mark my words hii ni mwanzo wa safari ya wazanzibar mengi yataibuka mtachukia sana 2 mara hii
 
Back
Top Bottom