security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Tatizo la waapinzani wa Bongo wanadhani porojo za kwenye mitandao na magazeti ndio kila kitu.
Matokeo yake ndio kama hayo. Juzijuzi walitangaza kwamba wataongoza halmashauri Kibondo na CCM itakuwa upinzani, matokeo yake yameonekana.
Hakutakuwa na tofauti 2015 baada ya uchaguzi mkuu, wataambulia kunawa tu...
Hiyo ni cha mtoto kichapo kapokea Mwigulu - Ugaidi wa Lwakatare kashindwa, Ugaidi wa Tindikali Kashindwa na uchaguzi wa Madiwani Arusha kapigwa 4 - 0 .WAPINZANI WACHEZEA KICHAPO KIBONDO
Katika hali inayothibitisha ule usemi wa mwanamuziki Chamilion wa Uganda kuwa "fitina yako bahati yangu" wapinzani wamechezea kichapo cha mwaka kwenye Halmashauri ya wilaya ya Kibondo baada ya CCM kushinda kwenye nafasi zote za kuongoza Halmashauri hiyo, ushindi uliowaacha midomi wazi wapinzani waliokuwa wakisubiri kufaidi kwenye ugomvi wa madiwani wa CCM wilayani hapo.
Diwani wa CCM Ndugu Emily Msanya kuibuka Mwenyekiti wa Halmashauri baada ya kupata kura 14 kati ya 17 zilizopigwa na Makamu Mwenyekiti ni Apronary Mazinda ambaye pia alishinda kwa kura 14 kati ya 17.
Kuchaguliwa kwa madiwani hao na ushindi huo wa CCM kwenye ngome ya upinzani ambapo Mbunge wa jimbo hilo ni Ndg. Mkosamali wa NCCR-Mageuzi ni uthibitisho dhahiri kuwa CCM ina mkakati mkubwa wa kuzidhibiti ngome zote za upinzani nchini kuelekea uchaguzi wa 2014 na 2015.
Kabla ya uchaguzi huo palikuwa na mgogoro mkubwa kati ya madiwani wa CCM, mgogoro ambao ulitatuliwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndg. Nape Nnauye kufuatia ziara yake ya kimyakimya ya siku moja wilayani Kibondo ambapo alikutana na madiwani hao wa CCM kwa zaidi ya masaa manne.
Matokeo haya ni kinyume kabisa na kile kilichoandikwa na Gazeti la Tanzania Daima la Agosti 7,2013 kuwa ' WIKI NGUMU KWA CCM" wakieleza kuwa CCM wangepoteza uchaguzi huu. Fitina hiyo ya TanzaniaDaima imegeuka kuwa bahati kwa CCM maana imetembeza kichapo cha haja kwenye uchaguzi huo.
Nape akiongea juu ya ushindi huo akinukuliwa na redio moja ya Mjini Mwanza alisema "ushindi huo ni mawingu mvua zenyewe zinakuja. Unajua hawa jamaa wanawekeza kwenye migogoro ndani ya CCM ili ikitokea hatukuelewana mahali basi wanazamia, hapa nimewazidi akili" alikaririwa Nape.
Wapinzani wakusanye nguvu kwanza ndiyo waje kwenye siasa
Ungesema ni kwa hisani ya Michuzi,maana naona umehamisha hadi heading lakini huja accredit,yani huja acknowledge source ya habari.Ndo mwanzo wa plagliarism huu.WAPINZANI WACHEZEA KICHAPO KIBONDO
Katika hali inayothibitisha ule usemi wa mwanamuziki Chamilion wa Uganda kuwa "fitina yako bahati yangu" wapinzani wamechezea kichapo cha mwaka kwenye Halmashauri ya wilaya ya Kibondo baada ya CCM kushinda kwenye nafasi zote za kuongoza Halmashauri hiyo, ushindi uliowaacha midomi wazi wapinzani waliokuwa wakisubiri kufaidi kwenye ugomvi wa madiwani wa CCM wilayani hapo.
Diwani wa CCM Ndugu Emily Msanya kuibuka Mwenyekiti wa Halmashauri baada ya kupata kura 14 kati ya 17 zilizopigwa na Makamu Mwenyekiti ni Apronary Mazinda ambaye pia alishinda kwa kura 14 kati ya 17.
Kuchaguliwa kwa madiwani hao na ushindi huo wa CCM kwenye ngome ya upinzani ambapo Mbunge wa jimbo hilo ni Ndg. Mkosamali wa NCCR-Mageuzi ni uthibitisho dhahiri kuwa CCM ina mkakati mkubwa wa kuzidhibiti ngome zote za upinzani nchini kuelekea uchaguzi wa 2014 na 2015.
Kabla ya uchaguzi huo palikuwa na mgogoro mkubwa kati ya madiwani wa CCM, mgogoro ambao ulitatuliwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndg. Nape Nnauye kufuatia ziara yake ya kimyakimya ya siku moja wilayani Kibondo ambapo alikutana na madiwani hao wa CCM kwa zaidi ya masaa manne.
Matokeo haya ni kinyume kabisa na kile kilichoandikwa na Gazeti la Tanzania Daima la Agosti 7,2013 kuwa ' WIKI NGUMU KWA CCM" wakieleza kuwa CCM wangepoteza uchaguzi huu. Fitina hiyo ya TanzaniaDaima imegeuka kuwa bahati kwa CCM maana imetembeza kichapo cha haja kwenye uchaguzi huo.
Nape akiongea juu ya ushindi huo akinukuliwa na redio moja ya Mjini Mwanza alisema "ushindi huo ni mawingu mvua zenyewe zinakuja. Unajua hawa jamaa wanawekeza kwenye migogoro ndani ya CCM ili ikitokea hatukuelewana mahali basi wanazamia, hapa nimewazidi akili" alikaririwa Nape.
Tatizo la waapinzani wa Bongo wanadhani porojo za kwenye mitandao na magazeti ndio kila kitu.
Matokeo yake ndio kama hayo. Juzijuzi walitangaza kwamba wataongoza halmashauri Kibondo na CCM itakuwa upinzani, matokeo yake yameonekana.
Hakutakuwa na tofauti 2015 baada ya uchaguzi mkuu, wataambulia kunawa tu...
Kiongozi;Is this statement from you?
Kibondo CCM ina madiwani 14 na wapinzani madiwani 3 tu!CCM kushangilia kushinda kuunda serikali ya Kibondo ni jambo la kushangaza sana!
Mkuu why mnashangilia hata sehemu mliyo shinda madiwani kwa kishindo?
Nguvu Kama hizo unazotumia Kumbebea wassira?Wapinzani wakusanye nguvu kwanza ndiyo waje kwenye siasa
Tatizo la waapinzani wa Bongo wanadhani porojo za kwenye mitandao na magazeti ndio kila kitu.
Matokeo yake ndio kama hayo. Juzijuzi walitangaza kwamba wataongoza halmashauri Kibondo na CCM itakuwa upinzani, matokeo yake yameonekana.
Hakutakuwa na tofauti 2015 baada ya uchaguzi mkuu, wataambulia kunawa tu...
Tatizo la waapinzani wa Bongo wanadhani porojo za kwenye mitandao na magazeti ndio kila kitu.
Matokeo yake ndio kama hayo. Juzijuzi walitangaza kwamba wataongoza halmashauri Kibondo na CCM itakuwa upinzani, matokeo yake yameonekana.
Hakutakuwa na tofauti 2015 baada ya uchaguzi mkuu, wataambulia kunawa tu...