Mpaka sasa hawajaona shida. Mfano, kama mliweza kusema lowassa fisadi miaka 10, halafu mkageuka, kwanini leo hii muaminike mkisema mkataba wa DP world ni wa kuuza nchi? Mind you mimi siungi mkataba mkono ila najaribu kumake sense ya hawa vijana wanaomsema Slaa kuwa haaminiki na wengine wanaaminika wanasimamia msingi gani?
Mimi personally, naona Slaa aliendelea kusimamia alichohubiri.