Wapinzani bado kuongoza tanzania

Wapinzani bado kuongoza tanzania

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
19,350
Reaction score
40,118
Habari JF. Nimeona leo nami nichangie mawazo kuhusu siasa za hapa nchini. Wakati tulio nao ni ule wa kila mtanzania kutaka mabadiliko kwa mfumo mzima unaoongoza maisha ya kila siku. Niseme pia mabadiliko yanayohitajika hayana ulazima wa CCM kutoka madarakani maana wapinzani wengi hudhani mabadiliko watu wanayoyataka ni upinzani kuingia ikulu. Kwa fikra hizo tu wapinzani wanafeli. Ninasema wapinzani hawawezi kuupata uongozi wa nchi maana bado mikakati yao sio imara na uminyaji wao wa demokrasia ni wa hali ya juu. Kwa sasa Tanzania nzima tunaongelea mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kupitia CCM ambapo UKAWA ni kimya na inavyoonekana mgombea wao hatapatikana kwa demokrasia iliyo wazi. Huko arusha hakuna tena mambo ya CHADEMA ni CCM hasaLowassa. Nahitimisha kwa kuwakumbusha wapinzani kubadilisha fikra zao ili kuikabili CCM yenye mbinu nyingi sana za ushindi.
 
You are deaf,blind, dumb, dull and useless citizen.
 
Mimi napita tu kukupa pole maana magreat thinkers hadi mapopoma ya Lumumba wamekuona una hitilafu upstairs wameamua kukuchunia,sijui kwa akili yako ndogo unataka quality gani kutoka upinzani dhidi ya mijizi ccm unayozidi kutuingiza kwenye mkwamo.
 
Ikumbukwe hadi mwaka 1977 kulikuwa na ASP Zanzibar na TANU bara baada ya hapo ndo CCM mpaka leo. Na kabla ya vyama vingi watanzania wote walikuwa CCM kilazima.. kwa maana ya kuwa viongozi wengi wa upinzani walikuwa wanaCCM na kufanya kazi serikalini kwa mfano Edwin Mtei, Mrema nk. Sasa hii lawama ya kusema miaka 50 haina nguvu kwa kuwa hata wapinzani wana mchango wao katika hili katika hiyo miaka 50.
 
Habari JF. Nimeona leo nami nichangie mawazo kuhusu siasa za hapa nchini. Wakati tulio nao ni ule wa kila mtanzania kutaka mabadiliko kwa mfumo mzima unaoongoza maisha ya kila siku. Niseme pia mabadiliko yanayohitajika hayana ulazima wa CCM kutoka madarakani maana wapinzani wengi hudhani mabadiliko watu wanayoyataka ni upinzani kuingia ikulu. Kwa fikra hizo tu wapinzani wanafeli. Ninasema wapinzani hawawezi kuupata uongozi wa nchi maana bado mikakati yao sio imara na uminyaji wao wa demokrasia ni wa hali ya juu. Kwa sasa Tanzania nzima tunaongelea mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kupitia CCM ambapo UKAWA ni kimya na inavyoonekana mgombea wao hatapatikana kwa demokrasia iliyo wazi. Huko arusha hakuna tena mambo ya CHADEMA ni CCM hasaLowassa. Nahitimisha kwa kuwakumbusha wapinzani kubadilisha fikra zao ili kuikabili CCM yenye mbinu nyingi sana za ushindi.

Inaonekana wewe huangalii mijadala bungeni! Tukiingia ikulu yale mawazo yatatekelezwa bila vikwazo. Mabadiliko ni Rais na mawaziri tu. Watumishi wengine watabadilishwa tu namna ya kufanya kazi, sera na mindset. Shida iko wapi?
 
mikakati ya Epa,escrow,rushwa na ufisadi ndio iko imara kwako nini?
mwizi anamshauri askari kwamba hana uwezo wa kumkamata kwa hiyo asubiri.
Mtaria sana ila lazima mdondoke tu.
 
Nina wasiwasi na uchambuzi wako.

Kwa namna yeyote hiyo demokrasia nabustawibwa jamii tunaoutaka ni lazima tufanye mparaganyiko kwa chama kikongwe. Ni lazima kwanza tupate chama mbadala ambacho kitaitwa upinzani. Inawezekana sio hivi tulivyonavyo lakini ukweli ni wazi kwamba mifumo hii iliyotamalaki toka miaka hiyoo ni afya ya nchi hii kama italetewa mageuzi yabkimkakati na utendaji
wake.

QBaaday ya kusema hayo....mwanamapinduzi ama yule anayependa kuona mabadiliko hawezi kubeza mbinu zinazofanywa na chama ambacho hakina dola. Upinzani wa Tz unafanya shughuli zake katika mazingira ya fitna, kasumba, hila, dhulma na ubabe.
Hiyo demokrasia unayoisema kamwe huwezi kuiona CCM katika awmu ya pili ya rais wake. Mfano mzuri ni Zanzibar sasa hivi. We unadhani hakuna Wazanzibar ambao wangetaka kugombea mwaka huu kule kwao? Jiulize mbona hawajachukua fomu? Wakati Kikwete anachulua fomu kwa mara ya pili...demokrasia ilikuwepo? Usiwe msahaulifu na siasa za Afrika na hata hapa Tanzania. Wapinzani wengi wanajitahidi na wachache wameumbwa.
 
Back
Top Bottom