Wapinzani AMKENI

Wapinzani AMKENI

kistick

Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
68
Reaction score
22
Wapinzani anzeni kujipanga katika ngazi ya kijiji maana huwa manafocus mijini tu, CCM wanaanza kuchukiana wenyewe kwa wenyewe wanatafutana uchawi anzeni kuamka sasa, hii ni fursa kwenu tatizo na nyie mnapingana huko huko lipumba anawapinga wapinzani umoja wenu ni muhimu
 
Back
Top Bottom